Msaada: Ipi ni tiba sahihi kwa tatizo la uume kulegea?

unaweza jaribu hizi hapa

confido


Shakti dawa nzuri sana ya kihindi.

Hii pi.

Horny Goat

Vigore X

Macaya unga hii

 
Hiyo Prostat Relax mbona ni dawa ya kupunguza kupanuka kwa tezi dume?
Tezi dume linamchango mkubwa sana kwenye nguvu za kiume. Kitaalamu tunawashauri watu kutumia hii dawa sababu ya kulinda tezi dume.

Usisubiri Tezi Dume zianze kuvimba ndipo utafute dawa. Na mtu yeyote mwenye shida ya kusimamisha uume ni lazima anashida pia kwenye tezi dume hata kama bado hazijavimba.

Tatizo watu wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kusahau kutibu tezi dume.

Sisi tunatibu vyote, mishipa ya fahamu, mishipa ya damu ndani ya uume, msukumo wa damu kwenda kwenye uume, hormones muhimu ya testosterone, tezi dume na pia tunapunguza kiwango cha sukari na mafuta. Hizo dawa zinatibu hayo yote.

Dawa zetu zinatibu shina la tatizo siyo tu zinaongeza ashiki kwa muda mfupi kama dawa zingine zinavyofanya.

Watu hawaponi sababu wanapewa dawa za kusisimua hashiki (libido) badala ya dawa za kutibu shina la tatizo lenyewe.

Mkuu kama unataka kufahamu zaidi kuhusu tiba zetu, njoo PM nikupe namba ya simu nikuelimishe kwa kirefu zaidi. Karibu sana.
 
Well put. Hakika wewe ni mtaalamu. Nina recommend yeyote mwenye shifa akuone
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…