Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni?
Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
unaweza jaribu hizi hapaMkuu wacha kula malapulapu,,tafuta chuma cha maana uwe unakula pazuri,,
Hata mimi mwanzoni nilidhani nina matatizo ya nguvu za kiume,
lakini tangu nilipoacha kula wanawake malapu lapu nikajiona sikuwahi kuwa mgonjwa wa tatizo hilo.
Wanaume wengi wandhani kila mwanamke ni kwa ajili yao..
Kuna wanawake wengine wanakuwa warembo wakiwa na nguo,
Ila ukishamvua nguo anapoteza ladha na shauku ya kufanya nae tendo.,
Inabidi unafanya kwa kulazimisha tendo lakini sio kwa hisia ya kufanya tendo.
Ndy hapo wanaume wengi tunapofail..
Binafsi kuna aina ya mwanamke nikiwa nae nacheza mchezo chini ya kiwango..
Nacheza kama mchezaji ambaye kapewa BAHASHA timu yake ifungwe..
Ila kuna type fulani ya mwanamke nikipata ,,aisee kama sio chama cha haki za binadamu na jinsiq kuingilia kati naweza nikaua mtu ulingoni...
Hiyo Prostat Relax mbona ni dawa ya kupunguza kupanuka kwa tezi dume?Dawa za kitaalamu zipo.
View attachment 3025502View attachment 3025503View attachment 3025504
Kwa maelezo zaidi juu ya dawa hizi njoo PM.
Inapatikana wapView attachment 3027221
Jaribu hii au
Aache harakaAcha kujipa wasiwasi,itasimama
Arusha ni pmInapatikana wap
Inapatikana wapi maduka yapiunaweza jaribu hizi hapa
View attachment 3027224
confido
View attachment 3027225
Shakti dawa nzuri sana ya kihindi.
View attachment 3027226
Hii pi.
View attachment 3027227
Horny Goat
View attachment 3027231
Vigore X
View attachment 3027232
Macaya unga hii
View attachment 3027233
View attachment 3027234
Bei zake zitakuwa zimechangamka Sanaa au vipna zingine kama
View attachment 3027235
Hii oia inaweza kukusaidia
View attachment 3027236
Na hii Speman
View attachment 3027237
Tuma bei na location hapa. Twende PM unataka kuficha nnArusha ni pm
Tezi dume linamchango mkubwa sana kwenye nguvu za kiume. Kitaalamu tunawashauri watu kutumia hii dawa sababu ya kulinda tezi dume.Hiyo Prostat Relax mbona ni dawa ya kupunguza kupanuka kwa tezi dume?
Well put. Hakika wewe ni mtaalamu. Nina recommend yeyote mwenye shifa akuoneTezi dume linamchango mkubwa sana kwenye nguvu za kiume. Kitaalamu tunawashauri watu kutumia hii dawa sababu ya kulinda tezi dume.
Usisubiri Tezi Dume zianze kuvimba ndipo utafute dawa. Na mtu yeyote mwenye shida ya kusimamisha uume ni lazima anashida pia kwenye tezi dume hata kama bado hazijavimba.
Tatizo watu wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kusahau kutibu tezi dume.
Sisi tunatibu vyote, mishipa ya fahamu, mishipa ya damu ndani ya uume, msukumo wa damu kwenda kwenye uume, hormones muhimu ya testosterone, tezi dume na pia tunapunguza kiwango cha sukari na mafuta. Hizo dawa zinatibu hayo yote.
Dawa zetu zinatibu shina la tatizo siyo tu zinaongeza ashiki kwa muda mfupi kama dawa zingine zinavyofanya.
Watu hawaponi sababu wanapewa dawa za kusisimua hashiki (libido) badala ya dawa za kutibu shina la tatizo lenyewe.
Mkuu kama unataka kufahamu zaidi kuhusu tiba zetu, njoo PM nikupe namba ya simu nikuelimishe kwa kirefu zaidi. Karibu sana.
Dawa za kitaalamu zipo.
View attachment 3025502View attachment 3025503View attachment 3025504
Kwa maelezo zaidi juu ya dawa hizi njoo PM.
View attachment 3027221
Jaribu hii au
Njoo PM mkuu.bei ipoje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!Mkuu wacha kula malapulapu,,tafuta chuma cha maana uwe unakula pazuri,,
Hata mimi mwanzoni nilidhani nina matatizo ya nguvu za kiume,
lakini tangu nilipoacha kula wanawake malapu lapu nikajiona sikuwahi kuwa mgonjwa wa tatizo hilo.
Wanaume wengi wandhani kila mwanamke ni kwa ajili yao..
Kuna wanawake wengine wanakuwa warembo wakiwa na nguo,
Ila ukishamvua nguo anapoteza ladha na shauku ya kufanya nae tendo.,
Inabidi unafanya kwa kulazimisha tendo lakini sio kwa hisia ya kufanya tendo.
Ndy hapo wanaume wengi tunapofail..
Binafsi kuna aina ya mwanamke nikiwa nae nacheza mchezo chini ya kiwango..
Nacheza kama mchezaji ambaye kapewa BAHASHA timu yake ifungwe..
Ila kuna type fulani ya mwanamke nikipata ,,aisee kama sio chama cha haki za binadamu na jinsiq kuingilia kati naweza nikaua mtu ulingoni...
Uongo mtupuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah kweli kilamtu na shida zake, yani mimi shida yangu ikisimama inakuwa kama NONDO mpaka unajiuliza hii made up by soft tissues or kind of Metals