Msaada: Ipi ni tiba sahihi kwa tatizo la uume kulegea?

Msaada: Ipi ni tiba sahihi kwa tatizo la uume kulegea?

Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni?

Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
6899a560a7494e3894f7b2261ce40dfd.png

Jaribu hii au
 
Mkuu wacha kula malapulapu,,tafuta chuma cha maana uwe unakula pazuri,,

Hata mimi mwanzoni nilidhani nina matatizo ya nguvu za kiume,
lakini tangu nilipoacha kula wanawake malapu lapu nikajiona sikuwahi kuwa mgonjwa wa tatizo hilo.

Wanaume wengi wandhani kila mwanamke ni kwa ajili yao..

Kuna wanawake wengine wanakuwa warembo wakiwa na nguo,
Ila ukishamvua nguo anapoteza ladha na shauku ya kufanya nae tendo.,
Inabidi unafanya kwa kulazimisha tendo lakini sio kwa hisia ya kufanya tendo.
Ndy hapo wanaume wengi tunapofail..

Binafsi kuna aina ya mwanamke nikiwa nae nacheza mchezo chini ya kiwango..
Nacheza kama mchezaji ambaye kapewa BAHASHA timu yake ifungwe..

Ila kuna type fulani ya mwanamke nikipata ,,aisee kama sio chama cha haki za binadamu na jinsiq kuingilia kati naweza nikaua mtu ulingoni...
unaweza jaribu hizi hapa
ConfidoTabletsbenefits2_1080x.jpeg

confido

ShaktiTablets_1080x.jpg

Shakti dawa nzuri sana ya kihindi.
TentexRoyaluses_1080x.jpeg

Hii pi.
HornyGoatWeedExtractTablets_d17fb7b8-1491-4c09-892b-6d1a84c9e71e_1080x.png

Horny Goat
VigorexGoldcapsules_1080x.jpg

Vigore X
MacaPurePowder_1080x.png

Macaya unga hii
KapikachhuTablets_1080x.jpeg

GokshuraBenefits2_1080x.jpeg
 
Hiyo Prostat Relax mbona ni dawa ya kupunguza kupanuka kwa tezi dume?
Tezi dume linamchango mkubwa sana kwenye nguvu za kiume. Kitaalamu tunawashauri watu kutumia hii dawa sababu ya kulinda tezi dume.

Usisubiri Tezi Dume zianze kuvimba ndipo utafute dawa. Na mtu yeyote mwenye shida ya kusimamisha uume ni lazima anashida pia kwenye tezi dume hata kama bado hazijavimba.

Tatizo watu wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kusahau kutibu tezi dume.

Sisi tunatibu vyote, mishipa ya fahamu, mishipa ya damu ndani ya uume, msukumo wa damu kwenda kwenye uume, hormones muhimu ya testosterone, tezi dume na pia tunapunguza kiwango cha sukari na mafuta. Hizo dawa zinatibu hayo yote.

Dawa zetu zinatibu shina la tatizo siyo tu zinaongeza ashiki kwa muda mfupi kama dawa zingine zinavyofanya.

Watu hawaponi sababu wanapewa dawa za kusisimua hashiki (libido) badala ya dawa za kutibu shina la tatizo lenyewe.

Mkuu kama unataka kufahamu zaidi kuhusu tiba zetu, njoo PM nikupe namba ya simu nikuelimishe kwa kirefu zaidi. Karibu sana.
 
Tezi dume linamchango mkubwa sana kwenye nguvu za kiume. Kitaalamu tunawashauri watu kutumia hii dawa sababu ya kulinda tezi dume.

Usisubiri Tezi Dume zianze kuvimba ndipo utafute dawa. Na mtu yeyote mwenye shida ya kusimamisha uume ni lazima anashida pia kwenye tezi dume hata kama bado hazijavimba.

Tatizo watu wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kusahau kutibu tezi dume.

Sisi tunatibu vyote, mishipa ya fahamu, mishipa ya damu ndani ya uume, msukumo wa damu kwenda kwenye uume, hormones muhimu ya testosterone, tezi dume na pia tunapunguza kiwango cha sukari na mafuta. Hizo dawa zinatibu hayo yote.

Dawa zetu zinatibu shina la tatizo siyo tu zinaongeza ashiki kwa muda mfupi kama dawa zingine zinavyofanya.

Watu hawaponi sababu wanapewa dawa za kusisimua hashiki (libido) badala ya dawa za kutibu shina la tatizo lenyewe.

Mkuu kama unataka kufahamu zaidi kuhusu tiba zetu, njoo PM nikupe namba ya simu nikuelimishe kwa kirefu zaidi. Karibu sana.
Well put. Hakika wewe ni mtaalamu. Nina recommend yeyote mwenye shifa akuone
 
Mkuu wacha kula malapulapu,,tafuta chuma cha maana uwe unakula pazuri,,

Hata mimi mwanzoni nilidhani nina matatizo ya nguvu za kiume,
lakini tangu nilipoacha kula wanawake malapu lapu nikajiona sikuwahi kuwa mgonjwa wa tatizo hilo.

Wanaume wengi wandhani kila mwanamke ni kwa ajili yao..

Kuna wanawake wengine wanakuwa warembo wakiwa na nguo,
Ila ukishamvua nguo anapoteza ladha na shauku ya kufanya nae tendo.,
Inabidi unafanya kwa kulazimisha tendo lakini sio kwa hisia ya kufanya tendo.
Ndy hapo wanaume wengi tunapofail..

Binafsi kuna aina ya mwanamke nikiwa nae nacheza mchezo chini ya kiwango..
Nacheza kama mchezaji ambaye kapewa BAHASHA timu yake ifungwe..

Ila kuna type fulani ya mwanamke nikipata ,,aisee kama sio chama cha haki za binadamu na jinsiq kuingilia kati naweza nikaua mtu ulingoni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!
 
Back
Top Bottom