VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
WADAU naombeni mnisaidie ni wapi nitaipata album ya muziki wa reggae yenye jina "REMEMBER BOB MARLEY-PROVERBIAL REGGAE" picha ya cover lake ilikuwa na wanaume watatu wakiwa wamekaa. ndani ilikua na nyimbo kama vile "marley" "funeral" "freedom" "prise" "babylon" "two turne girls" "mama africa". nilikua nayo lakini ikaibiwa mwaka 2006.nimejaribu ku google lakini sizipati hizi nyimbo. naombeni msaada wadau ili niweze kuipata.
ENOUGH RESPECT
ENOUGH RESPECT