blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Mkuu una nyimbo za justine kalikawe?basi mkuu kumbe ulipata, mi ndo nimeona leo thread yako. Kama unahitaji mwana reggae yoyote au video mbalimbali za rege tuwasiliane kwa PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una nyimbo za justine kalikawe?basi mkuu kumbe ulipata, mi ndo nimeona leo thread yako. Kama unahitaji mwana reggae yoyote au video mbalimbali za rege tuwasiliane kwa PM
Kumbe kundi la hao vijana linaitwa; Rufaro and Black history. Nyimbo zao original zipo mtandaoni, pamoja ha hizo zingine zilizopandishwa kwa jina la Gladiators Proverbial ReggaeProverbial Reggae - Wikipedia, the free encyclopedia
iLE COVER NI YA KUNDI LA THE GRADIATORS NA ALBUM IKIITWA Proverbial Reggae. INAVYOONEKANA KILICHOWEKWA NDANI KWENYE ILE CD NI TOFAUTI NA ALBUM YENYEWE .PIA ALOTUBAMBIKA ALIONGEZA NA MANENO REMEMBER BOB KWENYE JINA LA ALBUM.
ORIGINAL ALBUM YENYE COVER YA WATU WATATU (THE GRADIATORS)INAITWA PROVERBIAL REGGAE NA NYIMBO ZILIZOPO NI TOFAUTI NA HIZO ZA MAMA AFRICA,FUNERAL ETC. NYIMBO ZILIZOPO KATIKA PROVERBIAL REGGAE NI..
Side One
"Jah Works" - 3.30
"The Best Things in Life" - 4.02
"Dreadlocks the Time is Now" - 3.03
"Fly Away" - 3.45
"Marvel Not" - 3.54 (Clinton Fearon)
Side Two
"Stick a Bush" - 2.27
"Stop Before You Go" - 3.00
"Can You Imagine How I Feel" - 4.10 (Clinton Fearon)
"We'll Find the Blessing" - 3.02
"Music Makers from Jamaica" - 3.40
HATA MIMI NIKO KATIKA MSAKO WA NYIMBO ZILE.....MAMA AFRICA,FUNERAL ETC
Kumbe kundi la hao vijana linaitwa; Rufaro and Black history. Nyimbo zao original zipo mtandaoni, pamoja ha hizo zingine zilizopandishwa kwa jina la Gladiators Proverbial ReggaeMkuu VOICE OF MTWARA, binafsi nilikua natafuta sana hiyo Album lakini kwa kweli sijafanikiwa kupata hata single moja. Sijakata tamaa kwa maana pamoja kwamba japo kua kipindi hicho nilikua sielewi lugha waliokua wakiimba lakini nilikua napata hisia kubwa sana haswa ktk wimbo wa mama. Ile album iliandikwa Songs of freedom na nahisi wale jamaa ni wa Jamaica. Chonde chonde tupeane feed back.