Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Zile za 2007 zenye mdomo mrefu zenyewe bei gani (gen 3).Had 13 unapata mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile za 2007 zenye mdomo mrefu zenyewe bei gani (gen 3).Had 13 unapata mzee
9 mpaka 10 unapata msumali kweli kweli….Zile za 2007 zenye mdomo mrefu zenyewe bei gani (gen 3).
Wanaposema wese wanafikiria gari inatumia maji au?.Alafu mkisema wese, mngetoa hata kwa ufupi yaani ratio ni kiasi gani cha mafuta kinatumika per 100km au 1 litre per kilometre
Kwa depreciation hiyo ata izo za 4th gen ni nzuri kama mtu unataka ukae nayo muda mrefu, kikubwa chagua yenye engine ndogo non turbo, CVT transmission ya Subaru nzuri sio kama ya Nissan.9 mpaka 10 unapata msumali kweli kweli….
Inshort subaru hasa hatchback si gari ya kinunua leo ukasema kesho uuze..
Kuna zile Subaru legacy ni gar zuri sn, ila ukisema unauza m 7 kila mtu anaguna..
Wenyenazo wanazitupa had million 5
Generation ya ngap hiyo yako mkuuWanaposema wese wanafikiria gari inatumia maji au?.
Halafu wese ni matumizi yako mfano ukiendesha safari fupifupi nyingi lazima ulie na wese.
Usipofanya service kwa wakati mfano gear box oil, engine oil utalia na wese.
Usipokagua upepo kwenye tairi za gari lako utalia na wese tu.
Usipofanya msawazo wa tairi "wheel alignment" utalia na wese.
.............................................................
Mimi langu linatembea km8 hadi 11 kwa lita moja
Ndo maana nimeuliza mkuu maana 15km to 18km reasonable yaani kiujumla gari inayokwenda 10km and above kwa safari za mjini sio mbaya kwani hapo maana yake kwa safari zisizo na foleni itakwenda zaidiUkisoma specifications zake wanasema 15 - 18 Km per liter which is economy,
Sema wadau wanasema n jini, ss cjui how au mama Toyota bado anaendelea kupandikiza mbegu kwny mindset zetu
Hakika umenena.Kwa depreciation hiyo ata izo za 4th gen ni nzuri kama mtu unataka ukae nayo muda mrefu, kikubwa chagua yenye engine ndogo non turbo, CVT transmission ya Subaru nzuri sio kama ya Nissan.
4th gen ukisema uagize inacheza ngapi, uwa naziona nzuri hizi chuma.Hakika umenena.
3rd genGeneration ya ngap hiyo yako mkuu
Milioni 12+4th gen ukisema uagize inacheza ngapi, uwa naziona nzuri hizi chuma.
Ndipo hapo mkuuWanaposema wese wanafikiria gari inatumia maji au?.
Halafu wese ni matumizi yako mfano ukiendesha safari fupifupi nyingi lazima ulie na wese.
Usipofanya service kwa wakati mfano gear box oil, engine oil utalia na wese.
Usipokagua upepo kwenye tairi za gari lako utalia na wese tu.
Usipofanya msawazo wa tairi "wheel alignment" utalia na wese.
.............................................................
Mimi langu linatembea km8 hadi 11 kwa lita moja
Kuna mwana kule X aka twitter anaitwa Samatime Magari
View: https://x.com/samatimemagari/status/1787313816679657806?t=nKHfPSaXrDew_KsK0qD8uQ&s=19
Unaweza ukapita kwenye a/c yake huwa anatoa review ya aina tofauti tofauti za magari, huenda ukakuta na review ya hiyo gari yako pendwa
Hizi za kibabe snZile za 2007 zenye mdomo mrefu zenyewe bei gani (gen 3).
Hv kwann, mbona subaru n gari nzuri sn, performance, speed, comfort au kilema cha toyota kinatutafuna?9 mpaka 10 unapata msumali kweli kweli….
Inshort subaru hasa hatchback si gari ya kununua leo ukategemea kesho uuze..
Kuna zile Subaru legacy ni gar zuri sn, ila ukisema unauza m 7 kila mtu anaguna..
Wenyenazo wanazitupa had million 5