politics observer
JF-Expert Member
- Jun 18, 2024
- 385
- 299
- Thread starter
- #41
Binafsi 3rd generation huniambii k2 nazikubali sn4th gen ukisema uagize inacheza ngapi, uwa naziona nzuri hizi chuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi 3rd generation huniambii k2 nazikubali sn4th gen ukisema uagize inacheza ngapi, uwa naziona nzuri hizi chuma.
Hayana Matatizo me Ninayo ya 2014 na nilinunua toka 2021 Hadi Leo natamba nayoDaah ndugu yangu haya maswala y kujifunza kutokana n makosa ndo najaribu kuyaepuka
Shukran kaka kwa ushuhudaHayana Matatizo me Ninayo ya 2014 na nilinunua toka 2021 Hadi Leo natamba nayo
Ahaah, hapo naanza kuelewa ss, maana kunamdau hapa alisema inachoma sn engineEngine nasikia ndio haiko kwenye ubira kila siku garage
Hapa ndo hujaeleweka labda ungeyoosha kidogo maelezoHaichukui nafasi ya Daktari lakini inatoa wazo zuri ya kile unachoweza kupitia😜😜
Sidhani km huyo dotto ashawai itumia, pia ushauli wa mtumiaji n mzuri zaid y muuzajiKazi ya dotto magari na hapa ipo ,sisi tutaweza kweli
Mkuu vipi ulifanikiwa kuichukua? Unaendeleaje na hiyo machine? Nataka kujilipua pia, ila kelele ni nyingi sana kuhusu engine zake kwamba zinasumbua sana... Tupe ushuhuda Mkuu..Sidhani km huyo dotto ashawai itumia, pia ushauli wa mtumiaji n mzuri zaid y muuzaji