Msaada jamani: Haya magari yana shida gani?

Msaada jamani: Haya magari yana shida gani?

Sidhani km huyo dotto ashawai itumia, pia ushauli wa mtumiaji n mzuri zaid y muuzaji
Mkuu vipi ulifanikiwa kuichukua? Unaendeleaje na hiyo machine? Nataka kujilipua pia, ila kelele ni nyingi sana kuhusu engine zake kwamba zinasumbua sana... Tupe ushuhuda Mkuu..
 
Back
Top Bottom