Msaada jamani: Haya magari yana shida gani?

Sidhani km huyo dotto ashawai itumia, pia ushauli wa mtumiaji n mzuri zaid y muuzaji
Mkuu vipi ulifanikiwa kuichukua? Unaendeleaje na hiyo machine? Nataka kujilipua pia, ila kelele ni nyingi sana kuhusu engine zake kwamba zinasumbua sana... Tupe ushuhuda Mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…