Msaada jamani hizi gari 3 Mazda CX5, Mitsubish Outlander SportsstyleEditon, Toyota Vanguard

Msaada jamani hizi gari 3 Mazda CX5, Mitsubish Outlander SportsstyleEditon, Toyota Vanguard

I will stand with outlander, for me naona iko vizur kuanzia consumption yake na maintenance
Kampuni ya mitsubishi na Subaru huwa wanaigana Sana models zao kama ilivyo outlander na foresta 2008.
Outlander ukipata yenye CC 2400 hii ni 6 speed transmission hapa hakuna cha harrier wala Subaru forester wataweza kukufata
 
Ngoja Tusubiri Wataalamu Waje Kuzungumza Technical Analysis Ila Kwa Sisi Amateur Katika Hilo Tunakujibu Easy:

1. Utumiaji mafuta - Vanguard Ipo Juu
2. uimara - Inategemeana Na Matumizi
3. Speed - Vanguard
4. Kupatikana vipuri - Toyota - Vanguard
5. Ukisasa zaidi - Toyota - Vanguard
6. Mwonekano mzuri.- Toyota - Vanguard & Mazda CX5
7. Bei zake sokoni - Outlander Bei Ipo Chini
 
For reference:

Mazda CX5 ya 2012 (KE)
View attachment 2918537
ya 2017 second model KF
View attachment 2918538

Engine utayopata ni 2.2 diesel SkyActive kama utaagiza from JP ingawa unaweza pata petrol ila adimu saaana
Hii Gari huwa naielewa sana nilitaka hata kuvunja ka Premio kangu nichukue hii ila nimeghairi ni SUV ambayo inaonekana haitaki shida,Kuna mwamba anayo DZQ ila inagonga kinoma yaani sina hakika kama
Anaitesa sana au inakuaje maana Road anayopita yeye ndiyo napita mimi ni Rough kiasi cha km 2 mbili kutoka lami na haina mashimo hayo.
 
Naombeni msaada mwenye uzoefu au ufahamu wa hayo magari matatu lipi ni bora katika vipengele vya

1. Utumiaji mafuta
2. uimara
3. Speed
4. Kupatikana vipuri
5. Ukisasa zaidi
6. Mwonekano mzuri.
7. Bei zake sokoni

Zote zikiwa za mwaka unaofanana au kutofautiana kidogo tu.

1. Utumiaji wa mafuta - Mazda CX 5 2.2D au 2.0 Petrol
2. Uimara - Mazda CX 5, Vanguard
3. Speed - Mazda CX5 2.2D au 2.5 Petrol, Vanguard 2GR engine (hii at the expense of fuel consumption)
4. Upatikanaji wa vipuri - Vanguard (1) ila hutakosa kabisa na haya magari mengine
5. Ukisasa (technology) - MAZDA CX5 kama ukilinganisha hadi mwaka 2013 ambao ndo mwaka wa mwisho wa vanguard
6. Mwonekano - MAZDA CX5 (ingawa mwisho wa siku kila mtu ana jicho lake)
7. Bei - zote zikiwa za mwaka 2012 - 2013 (miaka ambayo zote mazda cx5, outlander na vanguard zipo, MAZDA CX5 hana mpinzani.
 
1. Mafuta. Itakua ngumu kujudge kwasababu haujawa specific kwenye mwaka, na engine size. Pia kuna model hapo zinatumia petrol na zingine diesel. Ila Mazda ya diesel 2.2 L itakua inakunywa wese kiduchu.

2. Uimara. Zote nzuri kwasababu za Japan. Wajapan wanajitahidi sana. Ila Toyota hana mpinzani, kisha Mitsubishi na Mazda wanapokezana. Ila still kuna factors nyingi mfano model year, matumizi ya owner akietangulia na service history.

3. Speed ya nini? Ukitaka speed chukua performance cars kama Audi, BM na Benz.

4. Vipuri. Zote unapata. Kariakoo wana spare hadi za Tesla.

5. Ukisasa. Nunua latest. Utaenjoy. Ila uyo bwana outlander outdated kama jina lake.

6. Muonekano ipo subjective. Kama demu tu. Mwingine anapenda shepu la Zuchu mwingine Sanchoka.

7. Izo gari zote bei ni 25 to 30M.

Naona hujampa majibu sahihi mtoa mada kwenye baadhi ya maeneo, umekuwa kama unamkosoa wakati amekuwa very specific

Alisema anataka zilinganishwe za miaka sawa. Gari hizi zote utazikuta kwa miaka 2012 - 2013 kwa sababu kabla ya hapa hakukuwa na CX5 na baada ya hapa hakukuwa na Vanguard.

Ameuliza speed akimaanisha kati ya hizo, angetaka sports car asingeainisha kabisa gari hizi tatu. Ila point ni kwamba kati ya hizo ipi ina soeed zaidi…CX5 2.2 D au vanguard yenye cc3500 (2GR) engine ni chaguo sahihi.

Ameuliza ukisasa, kwa hiyo miaka ambazo hizi gari zote zilitengenezwa ungeweza kulinganisha ipo ina ukisasa zaidi…Outlander zipo model hadi za mwaka 2023, hizo outdated ni zipi unaongelea maana hata 2013 ni modern tu, sio hizi zilizojaa.

Bei ….kati ya hizo kwa hiyo miaka ambayo gari zote zipo, ni CX 5 tu ndo unaweza kupata kwa hiyo bei.., labda na outlander za 2012. Vanguard za 2012 na 2013 kwa sasa most likely zitaanzia 38
 
Naona hujampa majibu sahihi mtoa mada kwenye baadhi ya maeneo, umekuwa kama unamkosoa wakati amekuwa very specific

Alisema anataka zilinganishwe za miaka sawa. Gari hizi zote utazikuta kwa miaka 2012 - 2013 kwa sababu kabla ya hapa hakukuwa na CX5 na baada ya hapa hakukuwa na Vanguard.

Ameuliza speed akimaanisha kati ya hizo, angetaka sports car asingeainisha kabisa gari hizi tatu. Ila point ni kwamba kati ya hizo ipi ina soeed zaidi…CX5 2.2 D au vanguard yenye cc3500 (2GR) engine ni chaguo sahihi.

Ameuliza ukisasa, kwa hiyo miaka ambazo hizi gari zote zilitengenezwa ungeweza kulinganisha ipo ina ukisasa zaidi…Outlander zipo model hadi za mwaka 2023, hizo outdated ni zipi unaongelea maana hata 2013 ni modern tu, sio hizi zilizojaa.

Bei ….kati ya hizo kwa hiyo miaka ambayo gari zote zipo, ni CX 5 tu ndo unaweza kupata kwa hiyo bei.., labda na outlander za 2012. Vanguard za 2012 na 2013 kwa sasa most likely zitaanzia 38
Sa si usaidie kujibu mkuu.
 
Kwenye Mazda hapo kumbuka diesel na town trips kuna issue ya DPF malfunction. Hii ndio challenge kuu kwenye diesel Mazda.

Unaweza kuitoa (EGR & DPF Delete) ila ina side effects kadhaa.

Ila kama mtu wa road trip inafaa sana Diesel.
 
Kwa sasa Mazda CX-5 amelikamata soko...

Kama kawaida yetu wabongo mwendo wa kuigana. Upepo wa Dualis ulishakata watu wamegeukia kwenye RVR, ulikuwepo upepo wa Outlander ukakata na sasa watu wamehamia kwenye Mazda CX-5 ila cha ajabu Toyota Vanguard inaendelea kununuliwa tu.😂 Mfalme anabakia kuwa Toyota tu. Wacha wagundue vipengele vya Mazda kama walivyogundua moto kwenye Dualis.
 
Kwa sasa Mazda CX-5 amelikamata soko...

Kama kawaida yetu wabongo mwendo wa kuigana. Upepo wa Dualis ulishakata watu wamegeukia kwenye RVR, ulikuwepo upepo wa Outlander ukakata na sasa watu wamehamia kwenye Mazda CX-5 ila cha ajabu Toyota Vanguard inaendelea kununuliwa tu.😂 Mfalme anabakia kuwa Toyota tu. Wacha wagundue vipengele vya Mazda kama walivyogundua moto kwenye Dualis.
Mkuu Acha waendelee kuchangamsha soko la magari maana kama wote tutaishia kwenye Toyota biashara ya magari itakuwa ngumu hii varieties unayoiona ni biashara inafanyika kuanzia spares na mafundi pia
 
Back
Top Bottom