Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
Habari zenu wakuu
naomba kupata ufafanuzi juu ya mkopo unaotolewa na HESLB
je ni pesa ipi ambayo kila mwanafunzi hupewa sawa sawa na wanafunzi wengine ?
ni pesa ipi ambayo hutofautiana kwa mwanafunzi mmoja na mwingine kulingana na fulcut wanazosoma?
nitashukuru sana endapo nitapata ufafanuzi wa mambo hayo
nawasilisha.!
naomba kupata ufafanuzi juu ya mkopo unaotolewa na HESLB
je ni pesa ipi ambayo kila mwanafunzi hupewa sawa sawa na wanafunzi wengine ?
ni pesa ipi ambayo hutofautiana kwa mwanafunzi mmoja na mwingine kulingana na fulcut wanazosoma?
nitashukuru sana endapo nitapata ufafanuzi wa mambo hayo
nawasilisha.!