mchuzi wa pweza
Member
- Feb 10, 2017
- 22
- 18
duuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwimbie wimbo wa taifaNumbisa acha hivyo mm nakupenda mwenzio nifanyaje ili unielewe
Haha kabisaUmemkolezea kabisa na maandishi ili asipate shida ya kusoma eee
Kwan ulimkosea nn mpakaHahahah halafu ataenda kuandaa thread ya malalamiko
Jamn yaan anataka nipate skendo ya kubemenda,rafiki yako hafai
Kuuumbeeee!! Ndio nimethibitisha.Ni kazoefu haka
Sana yaan huyu mtoto ana mambocv yake bdo ndogo eeeh
Ninayempenda mtata hatarimsaada gan tena jamaan
Kwan ulimkosea nn mpaka
Anataka kukuarbia cv yako
Kias hiki
Kuthibitisha niniKuuumbeeee!! Ndio nimethibitisha.
Wewe unampenda mondray sijui kakupa niniMmh aiseee sijui tu kosa langu labda kwenda kumkaribisha kule jukwaa la utambulisho
Baada ya mahonda bin matuku tuku kukukimbia unataka kuniharibia kabisa na mimiKwan ulimkosea nn mpaka
Anataka kukuarbia cv yako
Kias hiki
Wewe unampenda mondray sijui kakupa nini
Hahah kweli kabisaNdo shida ya kumpenda usiyemjua, waweza kuta ni shangazi yako atii
mziki mnene gani wa maneno auhuyu hakuna lolote wameshashikana ugoni wamemwagana ..
mahonda nilishamzoezesha mziki mnene kaenda kwa usser mla chips wiki tu kakimbia
Ngoja niliziwie povu lililotaka kutoka maana omo ikasome kwa hilo povuMondray mtoto mwenzio bado ananuka maziwa
ko upo ladhi kuwekwa kwenye msururu maana mabinti wa jf siyo wa mchezo mchezoo
Huna hamu mwenyeweMmh aiseee sijui tu kosa langu labda kwenda kumkaribisha kule jukwaa la utambulisho
Yaan kaona tu wivu kisaHahaa hizi kashfa hahaha
Bahat mbaya ninajua wackikabila chetu tuMwimbie wimbo wa taifa
Halafu we mchokozi ujue.Nini na wewe, au ndo ushanipenda!!