Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Jamani kama mnadhania ni utani basi acheni mawazo hayo. Kiukweli nampenda kutoka moyoni na yote mnayoandika siyachukulii kiutani hata kidogo. I really loving her
 
Hiyo ni dalili ya balehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…