Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Mvizie kona, angalia kama hakuna mtu anaekuona then mshikie kisu shingoni then mwambie kuwa unampenda na akubali au unamkill, akikubali mwambie namba yake ya simu. Then mwache aende zake[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
 
Mvizie kona, angalia kama hakuna mtu anaekuona then mshikie kisu shingoni then mwambie kuwa unampenda na akubali au unamkill, akikubali mwambie namba yake ya simu. Then mwache aende zake[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Ushauri kuntu huu. Ngoja nione kama nitaweza kuifanya
 
Jamani kama mnadhania ni utani basi acheni mawazo hayo. Kiukweli nampenda kutoka moyoni na yote mnayoandika siyachukulii kiutani hata kidogo. I really loving her
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sasa ujikaze babaaaa kama
Utaendelea na mwendo huo bhas
Utakula tu kwa macho
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sasa ujikaze babaaaa kama
Utaendelea na mwendo huo bhas
Utakula tu kwa macho
Hahaaa nitampata na nitapiga kelele kwa furaha hadi mods washiruke
 
Tatizo Mi sipendi michanganyo
Nimekufatilia nyendo zako nikaona kabisa unamezea mate wengine
Kiroho safiiiiiii nikajiengua
walaaaa!! Starudia tena hyo
Michanganyo na hili jicho
La tamaa nalipgaa baaniii ya maisha

Samehe bibie ur welcome sweet heart
Mmeo walaaa stak hata kukupoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…