Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Kama umejiunga na JF juzi unawezaje kuweka color maandishi, kubold, italicised,n.t.c kama nilivyoona kwenye thread zako nyingine??[emoji1].....wewe siyo mamluki kweli???[emoji30]
 
Kama umejiunga na JF juzi unawezaje kuweka color maandishi, kubold, italicised,n.t.c kama nilivyoona kwenye thread zako nyingine??[emoji1].....wewe siyo mamluki kweli???[emoji30]
Mkuu mimi natumia pc na kwenye pc. Halafu ninaekewa microsoft office so haikunipa shida nilikua naangalia Tool bar basi mm napachika tu. In short nina siku 2 humu jf but nimepewa uxpert kozi vingi havijanisumbua
 
Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana
Daah kaniteka ubongo wangu mimi, sioni raha kuwa Jf bila kumtext yeye. Nampenda sana.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Bora wewe umeshindwa kumwambia, mi niliyempenda nimejitahidi kumweleza ya rohoni lakini ameshindwa kunikubalia.
Nafikiria kumloga lakini namhurumia asije teseka kwa ajili yangu...labda nimtaje tu
 
Bora wewe umeshindwa kumwambia, mi niliyempenda nimejitahidi kumweleza ya rohoni lakini ameshindwa kunikubalia.
Nafikiria kumloga lakini namhurumia asije teseka kwa ajili yangu...labda nimtaje tu
Mkuu mtaje hapa usiogope
 
Back
Top Bottom