Te Lavista
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,626
- 2,846
- Thread starter
- #121
Harafu zawafi yako huitaki eeh[emoji3] [emoji3] [emoji3] umeona aseme chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harafu zawafi yako huitaki eeh[emoji3] [emoji3] [emoji3] umeona aseme chama
Kabisa gwajima anafaaongea na Gwajima amwambie.
sasa huyo demu si ndiyo doctor wenyewe ya nini india wakati mumbai yuko humu humu jfongea na Gwajima amwambie.
Kweli nikimpata nitaachaHahaha!! ukikuwa utaacha,
Mkuu mimi natumia pc na kwenye pc. Halafu ninaekewa microsoft office so haikunipa shida nilikua naangalia Tool bar basi mm napachika tu. In short nina siku 2 humu jf but nimepewa uxpert kozi vingi havijanisumbuaKama umejiunga na JF juzi unawezaje kuweka color maandishi, kubold, italicised,n.t.c kama nilivyoona kwenye thread zako nyingine??[emoji1].....wewe siyo mamluki kweli???[emoji30]
Ndio viwanda vya kutengeneza vyeti original vya Bar shiteTanzania ya viwanda inakuja
Ndio mkuu, maana tumefika huko sasa. Kama ni wa kijani uwe na wa kijani. Na ukawa uwe na ukawa. Kasema mwenye nchi yake.[emoji3] [emoji3] [emoji3] umeona aseme chama
Bora wewe umeshindwa kumwambia, mi niliyempenda nimejitahidi kumweleza ya rohoni lakini ameshindwa kunikubalia.Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana
Daah kaniteka ubongo wangu mimi, sioni raha kuwa Jf bila kumtext yeye. Nampenda sana.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Mkuu mtaje hapa usiogopeBora wewe umeshindwa kumwambia, mi niliyempenda nimejitahidi kumweleza ya rohoni lakini ameshindwa kunikubalia.
Nafikiria kumloga lakini namhurumia asije teseka kwa ajili yangu...labda nimtaje tu
Unaniruhusu nitaje
HaRafu ww aspirin aliniambia niku...Hebu tupe id yako ya zamani kwanza
Sure umeniruhusu nimtaje eehMtaje
Asije akawa msaliti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kabla ya kukupa msaada, tuambie wewe ni wa chama gani. Usije kuwa ni kutoka upinzani.
Sure umeniruhusu nimtaje eeh
heee!!!! mshafika huku wakuu tena!!!!Mtoa Maada ni SHOGA