Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] umeona aseme chamaKabla ya kukupa msaada, tuambie wewe ni wa chama gani. Usije kuwa ni kutoka upinzani.
hahahahahahahhaHaya mwenzetu unaependwa utakua umeshahisi kua ni wewe!!! Mtongoze basi jamaa!!! Eti yeye domo zegeee [emoji3][emoji3]
Wakubwa wa siku hizi bwanaWatoto wa siku hizi bana
Unajua ni weweHaya mwenzetu unaependwa utakua umeshahisi kua ni wewe!!! Mtongoze basi jamaa!!! Eti yeye domo zegeee [emoji3][emoji3]
Wakubwa wa siku hizi bwana
Daaah aisee hamna jinsi bossUmepungukiwa vigezo muhimu sana vya uanaume "UJASIRI" na "KUJIAMINI".
Wewe nataka kuo... ila ngoja niporezeeKalale ukue bana
AfadhaliWewe nataka kuo... ila ngoja niporezee
Huyo mbibi nimpeleke wapi au kubugia nae ugoroTongozeni wote ila sio miss_blossom
Hujawai ni PM bwana!!!Unajua ni wewe
Unaniruhusu nitajeAfadhali
Am kamingi 4uHujawai ni PM bwana!!!
[emoji13] [emoji13] [emoji3] [emoji3]Nyie watoto mnaopevuka mnasumbua sana,
kama wewe ni mlemavu wa mdomo pole sana kijana 🙂🙂🙂🙂🙂Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana
Daah kaniteka ubongo wangu mimi, sioni raha kuwa Jf bila kumtext yeye. Nampenda sana.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Ahsante sana ningependa nipelekwe india nikafanyiwe upasuajikama wewe ni mlemavu wa mdomo pole sana kijana 🙂🙂🙂🙂🙂