Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Mods wanapaswa kufanya Vetting kabla ya kumu Accept mtu ili kuepuka kina bashite kama hawa
 
Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana yaani ukichukua domo la diamond, tifah na Nilan ndio unapata domo langu.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Utakuwa umemtamani tuu huja mpenda,
Ebu ongea ukweli wako kijana ;umempenda au umemtamani[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Utakuwa umemtamani tuu huja mpenda,
Ebu ongea ukweli wako kijana ;umempenda au umemtamani[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
NAMPENDA HERUFI YAKE INANZA NA ..........
NAOGOPA KUANDIKA
 
Nimeipenda hiyo shemela
I wish kuldu be Yu
anza hivyo shemela halaf usitaje jina lake hapa mwingine hapendi uwe unamtext mara kwa mara kama una no yake unampigia halaf ubadilike
 
Back
Top Bottom