Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

anza hivyo shemela halaf usitaje jina lake hapa mwingine hapendi uwe unamtext mara kwa mara kama una no yake unampigia halaf ubadilike
Ahsante shemela nakukubari.
Enhee nibadilike na nini
 
There are three things which are infinite in the we live
1. Universe
2. Stupidity
3. Poverty
 
Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana yaani ukichukua domo la diamond, tifah na Nilan ndio unapata domo langu.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Umejuaje ni mdada?
 
Ukisha mtukana baba na mwana kiu yako inakuwa imeisha? Acha ujinga ficbuku wewe
 
Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana yaani ukichukua domo la diamond, tifah na Nilan ndio unapata domo langu.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Unasaka kiki[emoji15]
 
Back
Top Bottom