Mama yake kajifungua kwa operation na kufariki Dunia,alikuwa dada yangu ,kwa sasa kanatumia maziwa ya unga Lactogen 1.Naomba jamani kama kuna mbinu zaidi za kitaalamu zenye kuniwezesha kumkuza huyu mtoto mnijuze hapa.
Mie sitajali gharama ..nataka nipambane kwa namna yeyote anko akue huenda akanifuta machozi mbeleni.
Ee Mungu nisaidie pia.
Kwa ss maziwa tu ndo mhimu...na usafi wake kuwa mwangalifu nguo zake zipigwe pasi kabla hajavalishwa zikishafuliwa....
Umri huo akilia ni njaa, usingizi au kakojoa anajitaji kubadirishwa zaidi ya hapo labda anaumwa....
Mungu akutangulie, roho imeniuma ila.Mungu atakusaidia
Umemaliza, mm mke wangu alijifungua akaenda shule, toto limekua kwa lactogen mpaka leo lina akili sijawah kuona. USAFI MUHIMU