Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Mama yake kajifungua kwa operation na kufariki Dunia,alikuwa dada yangu ,kwa sasa kanatumia maziwa ya unga Lactogen 1.Naomba jamani kama kuna mbinu zaidi za kitaalamu zenye kuniwezesha kumkuza huyu mtoto mnijuze hapa.
Mie sitajali gharama ..nataka nipambane kwa namna yeyote anko akue huenda akanifuta machozi mbeleni.
Ee Mungu nisaidie pia.
Mie sitajali gharama ..nataka nipambane kwa namna yeyote anko akue huenda akanifuta machozi mbeleni.
Ee Mungu nisaidie pia.