Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
avata yako na comments zako viko serious sana.
Naomben ushaur jaman Mm ni msabato, na nimepata mchumba wa dini ya Roman catolic nikimwambia abili dini hataki nifanyeje nisaidien niko njia panda..!
wasabato wako tayari kufukuzwa kazi ili waende kanisani jumamosi
wewe badili ukishindwa basi,tafuta roma mwwenzio
kwani wewe huwezi kubadili? au ya kwako ni ndo dini sana kuliko ya mwenzio ?
wewe ndo unatakiwa ubadili
Naomben ushaur jaman Mm ni msabato, na nimepata mchumba wa dini ya Roman catolic nikimwambia abili dini hataki nifanyeje nisaidien niko njia panda..!
Naomben ushaur jaman Mm ni msabato, na nimepata mchumba wa dini ya Roman catolic nikimwambia abili dini hataki nifanyeje nisaidien niko njia panda..!
Naomben ushaur jaman Mm ni msabato, na nimepata mchumba wa dini ya Roman catolic nikimwambia abili dini hataki nifanyeje nisaidien niko njia panda..!
Naomben ushaur jaman Mm ni msabato, na nimepata mchumba wa dini ya Roman catolic nikimwambia abili dini hataki nifanyeje nisaidien niko njia panda..!
Kichwa kinaniuma dah!!!Hivi kwani nyi hamjui kusoma??????someni Katika biblia mwanzo hadi mwisho sijaona kuna dini inatajwa ikiitwa USABATO wala UROMA,wala Yesu hajawahi zitamka dini zenu zote zilianzishwa na watu kama nyie....mpeni Yesu maisha mfunge ndoa.