ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wana jf niokoeni mwenzenu tumbo linajaa sana gesi hadi muhimbili nimefika lakini wapi!imefikia hatua kila chakula nikila tatizo linaanza,tumbo linajaa halafu linaunguruma na kuninyonga.
Niokoeni please!
Niokoeni please!