Nmefanikiwa kumtoa gerezan six months kesi yke ilikuwa inalindma but now he is free (baba mdogo) mlalamikaj mama yke mdogo!! Ipo hivii.........
Mama yke mdogo alimuita wakae pamoja, pamoja na familia yke baba mdgo baada ya hapo baba mdogo akauza mashamba yake na ardhi aliokuwa anamiliki ili akaishi na mama mdg hyo maisha yakaendelea vzr tu Mara ghafla mama yke mdg akavunjika mguu kwa ajali then ktk kutibiwa huku na kule baba mdgo akaanza kuuza Mali za mama yke mdgo (_ng'ombe,mbuzi ,nafaka +vyakula)
Mama akaznyaka zote hzo soo akaenda kutaifisha vilpouzwa vyote
Waliotaifishwa wakamsaka muuzaj wao Mara paa ndani..
Walalamikaj wakawa wengi ikawa nan sasa afungue kesi???
Busara za Hakim kuamua kuwa mama yke mdg afungue file moja ili atakapolpa wote watapata kupitia kwa mfungua file huyu...
Nimeenda likizo ya mwez Wa kumi/2017 nkakuta hyo kesi then nmerud chuo nkaisimamia nkaongea na walalamikaji wanaopitia mgongo Wa mama yke mdogo then tukafikia maafikiano kuwa tutawalipa mwez Wa tatu hivo basi ndg yngu awe huru mm ntasimamia malipo hayo(takribani million moja) wakakubal sasa ikabaki mfungua kesi kwenda kuifuta siku hyo anaifuta hakimu akaongea na mm kupitia simu ya mama mdg kuwa "*mlalamikaji anaweza kuirudisha kesi pindi tu km hajalipwa*"
Ndio maana nkaulza inawezekana?
-----> shukrani kwa Maelezo ya ndg dragon
Sina maana nataka kumtapeli hyo mama Bali niltaka kujua juu ya kauli ya HAKIMU tu