Wasio wasomi wataolewa na nani sasa?Mkiambiwa muoe wanawake wasomi mnajitia vichwa ngumu mnataka wa kuwasujudia baada ya kuwapa kula alafu hapa jukwaani mnasingizia bahati mbaya, bahati mbaya gani hiyo kama si ukosefu wa umakini na uwezo wa kufikiri? Ipo siku wewe utasafiri mkeo kwa sababu ya uzwazwa wake atamnywesha mtoto dawa iliyo expire au ilisiyotakiwa kunywa hapo ndio utakuja kujua kama ujinga ni mzigo na unaweza kusababisha kifo
Hahaha Hapana Mkuu nasikitika huo ushauri haukua admissible[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwaiyo ulimpiga na mkeo, maana ni ushauri uliotolewa hapo juu
Hahaha hapana Mkuu,ilikua ni uzembe tu juu ya hilo, na wala haihusian na kiwango chake cha elimu,Mkiambiwa muoe wanawake wasomi mnajitia vichwa ngumu kutaka wa kuwasujudia, alafu mnasingizia bahati mbaya, bahati mbaya gani hiyo kama si ukosefu wa umakini? Ipo siku wewe utasafiri mkeo kwa sababu ya uzwazwa wake atamnywesha mtoto dawa iliyo expire au ilisiyotakiwa kunywa hapo ndio utakuja kujua kama ujinga mzigo na unaweza kusababisha kifo
Mtawapa changamoto za kuitafuta elimu ili wakidhi vigezo maana elimu haina mwishoWasio wasomi wataolewa na nani sasa?
Bas sawaMtawapa changamoto za kuitafita elimu ili wakidhi vigezo maana elimu haina mwisho
AmenAhsanteni Sana Wakuu,kwa mawazo yote chanya mliyonipa,Mungu ni mwema mtoto hajambo kabisa sasa.
Hatujambo kabisa Mkuu,zaid tu nashukuru Ameimarisha zaid umakin juu ya usamizi wa uangalizi wa mtoto...Mbarikiwe sana WakuuAmen
Vipi wewe na mkeo hamjambo
Povu.Mkiambiwa muoe wanawake wasomi mnajitia vichwa ngumu mnataka wa kuwasujudia baada ya kuwapa kula alafu hapa jukwaani mnasingizia bahati mbaya, bahati mbaya gani hiyo kama si ukosefu wa umakini na uwezo wa kufikiri? Ipo siku wewe utasafiri mkeo kwa sababu ya uzwazwa wake atamnywesha mtoto dawa iliyo expire au ilisiyotakiwa kunywa hapo ndio utakuja kujua kama ujinga ni mzigo na unaweza kusababisha kifo
Wisely Mkuu,yaan umegusa point kubwa sanaPovu.
Yaani nimuoe msomi kisa kusoma kiingereza ktk dawa???
Hii ni kazi ya farmasia,anatakiwa ashitakiwe kwa kutotimiza majukumu yake.
Subiri utakapowakuta watoto wamekaushwa na dawa kama panya aliyefika chini ya godoro alafu uje ufungue Thread ya kuuliza ufanyejePovu.
Yaani nimuoe msomi kisa kusoma kiingereza ktk dawa???
Hii ni kazi ya farmasia,anatakiwa ashitakiwe kwa kutotimiza majukumu yake.
Akhsante sana ubarikiwe na wewe pia mkuuHatujambo kabisa Mkuu,zaid tu nashukuru Ameimarisha zaid umakin juu ya usamizi wa uangalizi wa mtoto...Mbarikiwe sana Wakuu
Mkuu ishu ilikua ni luga tu wala si kukomaa kiakili wala elimu.YOTE HIYO SABABU YA KYOA VITOTO AMBAVYO HAVIJA KOMAA KIAKILI.!
ALIELEKEZWA KWA LUGHA GANI MKUU MAELEZO YA MLETA MADA NI KWAMBA WIFE HAKUFUATA MAELEKEZO ALIYOPEWA NA DAKTARI.Mkuu ishu ilikua ni luga tu wala si kukomaa kiakili wala elimu.
Hii inanihusu nini mimi? Kwani mimi ndio nimekutwa na huo mkasa? Wewe mke wangu unamjua kama ni msomi au hapana!? Jiheshimu tafadhali.Mkiambiwa muoe wanawake wasomi mnajitia vichwa ngumu kutaka wa kuwasujudia, alafu mnasingizia bahati mbaya, bahati mbaya gani hiyo kama si ukosefu wa umakini? Ipo siku wewe utasafiri mkeo kwa sababu ya uzwazwa wake atamnywesha mtoto dawa iliyo expire au ilisiyotakiwa kunywa hapo ndio utakuja kujua kama ujinga mzigo na unaweza kusababisha kifo
Iwe isiwe siwezi kuoa mke msomi kwa sababu ya usalama wangu na familia,nimeona kwa jilani hapa kaoa dada mwanasheria yani ni tabu tupu,yani hata akimuuliza kwanini umechelewesha chakula ,mke anatamani kuingia kwenye vifungu vya sheria.Mkiambiwa muoe wanawake wasomi mnajitia vichwa ngumu mnataka wa kuwasujudia baada ya kuwapa kula alafu hapa jukwaani mnasingizia bahati mbaya, bahati mbaya gani hiyo kama si ukosefu wa umakini na uwezo wa kufikiri? Ipo siku wewe utasafiri mkeo kwa sababu ya uzwazwa wake atamnywesha mtoto dawa iliyo expire au ilisiyotakiwa kunywa hapo ndio utakuja kujua kama ujinga ni mzigo na unaweza kusababisha kifo
Hahaha imeku touch,kunywa maji upumueHii inanihusu nini mimi? Kwani mimi ndio nimekutwa na huo mkasa? Wewe mke wangu unamjua kama ni msomi au hapana!? Jiheshimu tafadhali.
Ujinga mzigoIwe isiwe siwezi kuoa mke msomi kwa sababu ya usalama wangu na familia,nimeona kwa jilani hapa kaoa dada mwanasheria yani ni tabu tupu,yani hata akimuuliza kwanini umechelewesha chakula ,mke anatamani kuingia kwenye vifungu vya sheria.