Msaada jinsi gani naweza kuwafikia wamiliki wa vyombo vya usafiri mikoni ili kuingia nao makubaliano ya kussuport wazo langu?

Msaada jinsi gani naweza kuwafikia wamiliki wa vyombo vya usafiri mikoni ili kuingia nao makubaliano ya kussuport wazo langu?

billy1999

Member
Joined
Oct 2, 2023
Posts
16
Reaction score
9
Habar qanaforum mimi apa nawazo la kuanzisha ofisi ya kupokea na kaagiza mizigo kutoka dar kwenda mikoni au kutoka mikoani kwenda sehem ingine kwa kutumia usafir wa mabasi lakin sijui vipi nitawafikia wamiliki wa mabasi ili nikubaliane nao. Hii nataka ni tengeneze uaminifu na urahisi kati ya wafanyabiashara wateja wao latika mikoa mbalimbali
 
Wao wenyew wanafanya hiyo biashara halafu wakupe na ww tena hapo hapo, sijui kama ina wezekana ila kajaribu
 
Back
Top Bottom