Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Am high just looking at this. God. I could smoke it all at once.yataka moyo,,zinavutia sana kwa addicts...
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am high just looking at this. God. I could smoke it all at once.yataka moyo,,zinavutia sana kwa addicts...
![]()
Yap!
Hahahaaa! Naona unamuitia madoctor hapo!!!!
yataka moyo,,zinavutia sana kwa addicts...
![]()
Sweetheart, it just doesn't click.
Nimejaribu ku click Quuen of Jungle imekataa. Naona itakuwa ilikuwa multiple id.
Unaona matatizo yako ayo?!!!
Ulipataje notification?
Ngoja nami niikiliki na ikikubali na......!
Nilikuja nilipoona bhange. Manake since 3rd December 2011 sijavuta tena.
Ni kweli haikilikiki!
But ni kweli haukupata notificatio? Mmh Sidhani! Coz kuna siku Munkari alikusudia kummention mwekundu but nilipata notification mimi! Kufika kule nikaaona mwekundu!
Nitakunanilii sasa hivi. Nlipokuambia si ulinibishia.
Sikupata.
Asanteni kwa mawazo.
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.
Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.
Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.
:doh:
wa jango baathi! Ndio umekarisika kweli?
Usininanilii wajango, sawa?
Nisamee bure, mm wa jango mwenzio! :lol:
Hata hapa ulivyoandika hivi inaonesha wazi ushapuliza kwanza ndo ukapost
cyo ameshapuliza, anaendelea kupuliza
Hata hapa ulivyoandika hivi inaonesha wazi ushapuliza kwanza ndo ukapost