Habarini jamani wakubwa zangu. Naombeni kuuliza ivi kubadili course Chuo Kikuu mfano kutoka Education kwenda Nursing kwa ufaulu wa 1.9 (PCB).
Kuna ugumu gani kwenye nyuo vya binafsi na serikalini na utofauti wake kwenye chuo kikuu binafsi na vya serikali?
Kuna ugumu gani kwenye nyuo vya binafsi na serikalini na utofauti wake kwenye chuo kikuu binafsi na vya serikali?