Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

nacho shangaa mi nimekuwa mzoefu ya hii kitu, hata awe mpya sichafui chombo cha kulia ni mwendo wa ku withdraw mpaka nahisi nna tatizo.
Inahitaji ujasili wa hali ya juu
 
nacho shangaa mi nimekuwa mzoefu ya hii kitu, hata awe mpya sichafui chombo cha kulia ni mwendo wa ku withdraw mpaka nahisi nna tatizo.
Itakuwa unaangalia sana picha na video za ngono mkuu
 
Mi huwa natelezaga tu sipendagi ujinga wa kujidhurumu nafsi. .....mambo mengine mbele kwa mbele....P 2 zinahusika baada ya hapo .......We endelea kujinyima utamu tu
 
Hiyo njia iliisha mgharimu mtu Maisha ndani ya Biblia sikushauri kabisa kuitumia utakuwa unamtesa MKEO na uenda ikakugharimu na wewe kwa mkeo kutoka nje ya ndoa kisa umemkatisha kuisikilizia mihemko yako unapokuwa kwenye CLIMAX......ONYO::NI MARUFUKU KUFANYA NJE YA NDOA......
 
nafikiri ilitokea kama zao la uoga, maana kuna mtu alinasa ikawa kesi kubwa ila nkaimaliza. toka hapo nikawa mwoga wa kumwagia ndani hata iweje labda kama kuna makubaliano.

kondomu nikitumia nayo majanga napiga pampu mpaka inaishiwa mafuta nabadili ila wazungu hakuna.ko n peku na kumwaga nje tu.
Mkuu unaonekana umeadhiriwa sana na punyeto
 
Katika mada ambayo mimi huwa sielewi ni hii...Sijui mnaanzaje aisee!
 
Back
Top Bottom