Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Halafu mimi siamini kama utamu kolea ndo huwa unatolewa nje bhana. Sasa kama mwenzio bado hajafika halafu ukachomoa inakuwajee
 
Ya aina gani hiyo biblia? Maana agano jipya ina biblia za 10000+ kulingana na guality yake.
 
Halafu mimi siamini kama utamu kolea ndo huwa unatolewa nje bhana. Sasa kama mwenzio bado hajafika halafu ukachomoa inakuwajee
Mi huwa nasubiri amalize kwanza ndio naanza shughuli ya kulivuta karibu karibu.Tofauti na hapo unakuwa aumtendei haki.
 
Ahaa.sitaki hata kusikia.nilishawahi kumpa MTU mimba.hvyo hvyo.huko ni kujidanganya.
 
Msisahau kuna pre ejaculation....bora njia zingine za uzazi kutumika.
 
Dakika 10 Kabla Ya Kugegeda Jaribu Kupiga Nyeto aka Chaputa....Hapo Utakuwa Automatically Umeshalisolve Tatizo la Kutokuwa na Self Control... Baada Ya Mwezi Mmoja tu Njoo Unipe Mrejesho...
 
Hahahaa usinikumbushe aisee...niliwahi naswa bonge la Kofi kisaa kujitia ujuaji naweza kumwaga nje thubutuuuu
 
Back
Top Bottom