Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Kumwaga nje na kondom niliachaga yaan ni kama unapiga PUCHU kalenda ndio njia mbadala na iko poa mm na mke wng ndio tunayotumia
 
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure yaani tangu nianze hii njia nmeweza kufanikiwa mara mbili tu katika mechi 15,

Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...

NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia
Unaweza kudumu Muda gani juu ya mama?
 
Wasikukatishe tamaa,
Inawezekana sana,.endelea kujaribu ipo siku utaweza
 
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure yaani tangu nianze hii njia nmeweza kufanikiwa mara mbili tu katika mechi 15,

Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...

NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia
Hii njia ngumu sana, yaani goli linataka kuingia linapotakiwa alafu ujikoseshe, dah! Raha ya kumwaga umwagie ndani tena pekupeku!!
 
Ni njia salama kabisa kuliko kujitomb mwenyewe kwa condom. Mie nishaiweza sana, tena nikimwaga namwaga juu yake kiroho safi
 
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure yaani tangu nianze hii njia nmeweza kufanikiwa mara mbili tu katika mechi 15,

Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...

NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia
Haki sawa, ukishindwa mwambie yeye amwage nje.
 
Usipo kuwa na roho ngumu huwezi Mimi mwanzo ilikuwa ngumu sana kutema utamu ule wote sio mchezo!
 
Hii njia naiweza kabisa, i did it a couple of times, kila ninapohitaji. Kama huwezi huwezi tu, ila lazima uwe na mkoja ili kila ukimwagia nje ukajoe mkojo ili manii yanayobaki kwenye njia yatoke, la sivyo utamwaga nje na kumpa mimba... Hii njia inahitaji discipline ya hali ya juu.
 
Back
Top Bottom