Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

Mbona huohuo mdomo mnapokelea mate yetu, mnatunyonya uume n.k. Kwanini ushindwe kunywa sperm za mtu wako?
Mate tunapeana, jaribu kunywa na wewe hizo sperm zako uone kama zafanana na mate, alafu vijana mmeshariri sana yaani mnadhani kufanya mapenzi ni mpaka unyonywe au unyonye kiuchi cha mwenzio Loh!!
 
Mate tunapeana, jaribu kunywa na wewe hizo sperm zako uone kama zafanana na mate, alafu vijana mmeshariri sana yaani mnadhani kufanya mapenzi ni mpaka unyonywe au unyonye kiuchi cha mwenzio Loh!!

Acha kumbania mtu wako, kunyonyana ni ubunifu.

Kumwaga nje kunazuia mimba bila kuathiri ladha

Kumwaga nje kunaongeza raha hasa pale mwanaume anapotaka kuunganisha la kwanza, la pili n.k bila kuharibu ladha ya k.
 
Acha kumbania mtu wako, kunyonyana ni ubunifu.

Kumwaga nje kunazuia mimba bila kuathiri ladha

Kumwaga nje kunaongeza raha hasa pale mwanaume anapotaka kuunganisha la kwanza, la pili n.k bila kuharibu ladha ya k.
Wewe kama uwezo wako ni mdogo wala usitake kujitetea kwa kumwaga nje, kumwaga ndani hakumzuii mtu kuendelea na round nyingine! Kawaida mwanaume aki mwaga mwanamke anatakiwa kujisafisha naomba tuishie hapa maana tunakokwenda ni kukubwa kuliko umri wako
 
Wewe kama uwezo wako ni mdogo wala usitake kujitetea kwa kumwaga nje, kumwaga ndani hakumzuii mtu kuendelea na round nyingine! Kawaida mwanaume aki mwaga mwanamke anatakiwa kujisafisha naomba tuishie hapa maana tunakokwenda ni kukubwa kuliko umri wako

Akijisafisha halafu akarudi tukaendelea hapo sawa.
 
Kimsingi hii njia ndio ninayotumia, na mpaka sasa haijawahi niangusha, njia rahisi ni kuhakikisha unapotaka kumaliza wewe ndio uwe unakontrol shughuli.
Mfano ukitaka kumaliza hakikisha wife hajishughulishi ila wewe ndio unakuwa muhusika mkuu. Style nzuri ya kufanyia mazoezi ni dogie style.
Nakubaliana na wewe. Mimi hata siku moja haitokei nimwage ndani kama sina nia. Hata iwe danger kiasi gani najijua ni wakati gani zinakaribia kuja na ninawithdraw bila shida. Kuepuka madhala uwa nazihold kwenye mikono yangu au naziweka kwenye sehemu ya kitovu na siyo karibu na uke maana ukifanya karibu na uke kuna hatari ya baadhi kuingia. Ukitaka round ya pili akikisha kwanza unakwenda kukojoa mkojo ili mkojo usafishe urethra
 
Kwani kumwaga ndani kuna faida gani kwa mwanamke, na kumwaga nje kuna hasara gani kwa mwanaume?
 
Trump atutukane kwa sababu gani? yeye mwenyewe anavinjari na kamodo ka miaka 24, ana lipi lakututukania?
 
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure yaani tangu nianze hii njia nmeweza kufanikiwa mara mbili tu katika mechi 15,

Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...

NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia
Try hard brother though ts some hw complicated since ni self response xo try more en more ili uwezecontrol response yako .....ts only guarantee method of sex ambayo ipo safe approximately 99℅efficient kuliko kutumia kalenda ...kp on trying
 
Back
Top Bottom