Msaada tafadhari,mi ni mwanafunzi nahitaji nijiamini katika masomo yangu ili nifanye vizuri
mara nyingi huwa najawa na hofu na kujiona nishafeli ninapomuona mtu kasoma topic ambayo mi sijasoma
hofu hii huwa nipo nayo muda wote na muda mwingi huwa nafikiria tu nashindwa hata kuchukua hatua na hatimae nafeli kweli
naombeni mnisaidie jinsi ya kufanya niondoe hii hofu maana nimejaribu mwenyewe lakini nimeshindwa na dira ya maisha yangu naona kama vile inapotea!
nitafanikiwaje katika masomo yangu na kuwa active muda wote na hamu ya kujisomea isiishe na wala isiwe ya msimu(leo ipo kesho haipo?
mara nyingi huwa najawa na hofu na kujiona nishafeli ninapomuona mtu kasoma topic ambayo mi sijasoma
hofu hii huwa nipo nayo muda wote na muda mwingi huwa nafikiria tu nashindwa hata kuchukua hatua na hatimae nafeli kweli
naombeni mnisaidie jinsi ya kufanya niondoe hii hofu maana nimejaribu mwenyewe lakini nimeshindwa na dira ya maisha yangu naona kama vile inapotea!
nitafanikiwaje katika masomo yangu na kuwa active muda wote na hamu ya kujisomea isiishe na wala isiwe ya msimu(leo ipo kesho haipo?