Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari JF
Ninahitaji kujua taratibu za kupata TIN number kwa ajili ya kupata lesseni ya udereva.
Mwenye kujua taratibu naomba anisaidie
NB sina namba ya NIDA
Nimefatilia nimeambiwa ntapata after 2 weeks na TIN number inahitajika jumatatu ya kesho
Msaada!!!!!
Ninahitaji kujua taratibu za kupata TIN number kwa ajili ya kupata lesseni ya udereva.
Mwenye kujua taratibu naomba anisaidie
NB sina namba ya NIDA
Nimefatilia nimeambiwa ntapata after 2 weeks na TIN number inahitajika jumatatu ya kesho
Msaada!!!!!