Msaada: Jinsi ya kupunguza au kutokuwa na hasira

Asante sana nakuahid nitafanya haya
 
Sawa mkuu ntafanya ivo
 
Nimesomea pyschologia nitafute niku counselling utabadilka ...though itahitaji utahayari,kujikubali na follow up kuinsure progress
 
Pole sana mkuu Mimi pia nilishawahi kuwa na tatizo kama lako nakumbuka nilimfuata brother mmoja wa kanisa sasa hivi ni marehemu....alinifundisha jambo....pindi ninapokuwa na hasira nianze kuhesabu namba Kimya kimya kuanzia moja hadi mia moja ... Au mia moja kushuka chini, kingene ni kutafuna bigijii,,kingine ni kumsikiliza aliyenikosea na kukubali hata kama kanikosea Mimi nijishushe ikiwezekana niondoke eneo la tukio .,..
 
umenichekesha sana mjomba eti 100 kushuka chini [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huo ugonjwa na mimi ninao ni mbaya sana nimepoteza kazi nyingi sana kwa sababu hii mtu akinikera tu naachana nae hata azi naiacha. Mimi uamuzi niliochukua ni mmoja kuwa anti-social ili kuepuka hali hii kidogo inanisaidia.
 
Huo ugonjwa na mimi ninao ni mbaya sana nimepoteza kazi nyingi sana kwa sababu hii mtu akinikera tu naachana nae hata azi naiacha. Mimi uamuzi niliochukua ni mmoja kuwa anti-social ili kuepuka hali hii kidogo inanisaidia.
Sawa sawa mkuu
 
Uchumi umekaaje??kuna uhusiano gan kat ya hali ya uchumi na hasira nilizonazo??
uhusiano upo tena sana maana hali ya uchumi inaleta fear of uncertainty ambayo baadae inaleta hasira na chuki
 
Huo ugonjwa na mimi ninao ni mbaya sana nimepoteza kazi nyingi sana kwa sababu hii mtu akinikera tu naachana nae hata azi naiacha. Mimi uamuzi niliochukua ni mmoja kuwa anti-social ili kuepuka hali hii kidogo inanisaidia.
Mmmh huu ugonjwa tupo wengi sana sometimes sijui upole sana nao unachangia au Ile kupenda kukaa mwenyewe

Yani mimi nikikwazika nachozi tu likinitoka kitakachofuatia hapo Mungu ndio anajua na sikubali nishindwe ila unakuta baada ya mda naanza kujutia kwanini nimefanya hivi hua sipendi sana kujihusisha na jambo naloona litanikwaza ila kuna mda matukio yanakufuata tu
 
Nimejifunza kitu yani hasira huwa zinanitesa sana na mbaya zaidi mimi napenda sana kukaa peke angu yani kukaa na watu huwa siwezi
 
Mhh mweeeh.... !! Wenzako chozi likitoka hasira znaisha lkn we ndo znapada..!! Utaua watu ndugu yangu
Yani mimi niko tofauti nikitoa tu chozi nnakua na maamuzi ambayo ni magumu na ujasiri uliopitiliza ila nikikasirika chozi lisitoke nakua kawaida sana
 
Hasira zinaletwa na shetani shetani kaumbwa na moto ukiwa na hasira kama wewe ni muislamu tawadha Au kama ni dini nyingine kunywa Maji kwakuwa shetani ni moto utakuwa umemwagia maji basi atapowa kama hakuna maji na wewe ulikuwa umesimama kaa kama ulikuwa umekaa jilaze ni hayo tu
 
Pale unapopatwa na hasira, wahi chooni jitahidi upate "haja kubwa" hata kwa kujikwamua hasira itaisha!!!!
 
Ni kweli mkuu hii hali inaniandama sana
 
Asante sana ndugu yangu ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…