shayrose
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 369
- 411
Habarini za hapa wanajukwaaa
Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio
Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine nahangaika kulikausha ndo kwanza linazidi
Naombeni ushauri niende wapi nmeshahangaika sana hospital na Sina mtoto hata mmoja nitakufa kwa stress
Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio
Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine nahangaika kulikausha ndo kwanza linazidi
Naombeni ushauri niende wapi nmeshahangaika sana hospital na Sina mtoto hata mmoja nitakufa kwa stress