Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kitu hairuhusu mimba kutunga maana anakuwa na vijivimbe vimbeUnaonaje kama ukashika mimba?
Hii issue si yakutolewa kizaz mkuu wala overy ni issue ndogo akipata daktar anaejua maswala ya homon ila anaejua maswala ya wanawake anakuwa ok kwa gharama za kawaida kabisa. Trust meNenda ukatolewe ovary hizo by surgical procedure na hapo inategemeana na aina ya cyst ms , kama ni ile inayowapata 19, -25 bhas jiandae kuondoa kizazi[emoji120][emoji120]
nikimjibia. Inakuwa hvyo.upasuaji utafanya kutoa nn?Kwahiyo inawezekana kupona bila upasuaji
Ingekuw anaweza kuzaa ningemshauri azae mapema matatizo kama haya huwa hayaishi yanarudi mara kw mara. .Hiyo kitu hairuhusu mimba kutunga maana anakuwa na vijivimbe vimbe
Hilo tatizo huwa linapagawishaga wanawake sanaaa maana hawez shka mimba hata iweje mpaka tatizo litatuliweIngekuw anaweza kuzaa ningemshauri azae mapema matatizo kama haya huwa hayaishi yanarudi mara kw mara. .
Kwa kweli inahitaji maombi ya ziada. .
Kama ungeweza kushika mimba ningekushauri ujaribu mapema...Mimba imegoma pia nmeambiwa shida ni hiyo
Rejea ujumbe wangu wa awali kabisa. Ila jaribu pia huko ulikoshauriwa. Lengo n kupona na uwe na ule uwezo wa kupokea mimbaNaona wengine wameshaur nifanye sugary ila bado ndogo haijafika sm3
Aiseee sikuwa najua nimejifunza kitu leo. .Hilo tatizo huwa linapagawishaga wanawake sanaaa maana hawez shka mimba hata iweje mpaka tatizo litatuliwe
Kuna homon flan kwa mwanamke nimesahau jina lake. Ikiwa juu tuu mimba hapati. Siku zake hazioni. Na pia anaweza kutokwa na maziwa kama anamtoto vile hasa chuchu zikibinywa. Kunadawa hupatiwa kushusha hiyo homon ila ni kwa muda baada ya dawa kuisha mwilin ngoma inarud kama kawaidaKama ungeweza kushika mimba ningekushauri ujaribu mapema...
Nakumbuka wife alikuw na hormone imbalance aisee nilijaribu kumpa ujauzito mda mrefu sana. Nilipata daktari amana alinisaidia sana. .
Ila wazo la ziada mambo Kama haya yanaweza kuwa ya kishirikina. Kwa sababu haiwezekani wenzako wengi wanawaona madaktari wanapona wewe unazunguka kila kona. Kama ulishawah kuchanganya wanaume kawaombe msamaha. .
Nanda kanisani kwenye mambo wakati pia unaendelea na tiba. .
Utafanikiwa. Amin na Mungu atatenda kupitia watu wakeNimepagawa kabsa yaan nahitaj mtoto kuliko nnavyohitaji oksijen
Asante sana mkuu
Najua huwa wanaangalia CM kama sijakosea kuna ambazo kwa Dawa tu zinapotea ila zipo kuna hatua hadj surgical procedures ndio zinatokaNipo kanda ya ziwa
Nmeshaenda hospital nyng wanadai bado ndogo eti itapotea
Huu ugonjwa umeingia wanawake wengi wanaugua hii kitu sijui chanzo cha tatizo ni nini, huruma sanaHabarini za hapa wanajukwaaa
Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio
Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine nahangaika kulikausha ndo kwanza linazidi
Naombeni ushauri niende wapi nmeshahangaika sana hospital na Sina mtoto hata mmoja nitakufa kwa stress
Kuna kipindi nilikua naangalia Clouds kuna dada anasema anazo dawa zinasaidia watu Ila sikukizingatia sana nikabadiri channel, emu kesho jaribu kuangalia marudio unaweza ukamuelewaMimba imegoma pia nmeambiwa shida ni hiyo
Mimi nilikikuta usiku huu mida ya saa 5 nikacheck kidogo nikahama Ila alikua anazungumzia masuala hayo hayo, kesho hata mchana kinaweza kikarudiwa sijajuaSaa ngap wanaonesha