Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa usihofu sana Mungu atakubariki utapona tu,Ntajaribu kuangalia kesho
Umeona mkuu ujue sijui kuna nini yani saivi ivi vidada vingi vya 90s wanaHuu ugonjwa umeingia wanawake wengi wanaugua hii kitu sijui chanzo cha tatizo ni nini, huruma sana
Yaani wewe kinachokusumbua siyo hiyo Homa Bali ni hofu uliyonayo.. Ni lazima uponye kwanza hiyo hofu kabla hata ya hayo matibabu, unalazimisha lazima upate mimba sasa why?? Kwa nini usiwazie afya yako kwanza? Ukiondoa hiyo hofu na kulazimisha kupata mimba Hilo tatizo litapona haraka na hiyo mimba kama ni kwa heri utapata. Nina expirience kubwa Maana tumepitia hayo but lazima uponywe saikolojia yako kwanza ndipo na hormone zitakaa Sawa. Sijui ni pressure kutoka kwa mwanaume au nini???Vp alipona na kupata watoto baada ya upasuaji?
Nitajitahidi kutokuwa na hofu mkuuYaani wewe kinachokusumbua siyo hiyo Homa Bali ni hofu uliyonayo.. Ni lazima uponye kwanza hiyo hofu kabla hata ya hayo matibabu, unalazimisha lazima upate mimba sasa why?? Kwa nini usiwazie afya yako kwanza? Ukiondoa hiyo hofu na kulazimisha kupata mimba Hilo tatizo litapona haraka na hiyo mimba kama ni kwa heri utapata. Nina expirience kubwa Maana tumepitia hayo but lazima uponywe saikolojia yako kwanza ndipo na hormone zitakaa Sawa. Sijui ni pressure kutoka kwa mwanaume au nini???
Yes. Mtoto ameanza vidudu mwaka huu.Vp alipona na kupata watoto baada ya upasuaji?
Hebu relax kwanza ....ishi kama huna tatizo vile..utashangaa siku isiyona jina umeconceiveNitajitahidi kutokuwa na hofu mkuu
Asante kwa nasaha zako