Uko mkoa gani? Waone Gynacologists kwa case kama yako hawashindwiHabarini za hapa wanajukwaaa
Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio
Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine nahangaika kulikausha ndo kwanza linazidi
Naombeni ushauri niende wapi nmeshahangaika sana hospital na Sina mtoto hata mmoja nitakufa kwa stress
Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu utakuwa okVinatibiwaje Sasa maana namaliza dawa hazipungui ndo kwanza vinaongezeka
Dawa za sukari ile ya watu wameanza kusumbuliwa na sukari. Yan dawa ndogoNishatumia dawa nyng ila hyo hapana sijawah kupewa
Dar ila unaweza anza kwa kumpigiaYupo mkoa gan huyu docta
TUpo pamojaNtaifatilia nashukur sana mkuu
Okay pole mimi hua natumia hio kuwatibu wateja wangu (imeonyesha kurespond vizuri) fika hospitali kama upo Dar nenda hata regencyNishatumia dawa nyng ila hyo hapana sijawah kupewa