Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wakuu mimi nina mke tuliedumu naye kwenye ndoa kwa muda wa mwaka wa 6 sasa na ndoa yetu tuliifunga kanisani.
Lakini sasa ndoa imefikia mahali haiwezi tena kuendele baada ya juhudi nyingi(nisingependa kuliongelea sana hili)
Naomba ushauri wenu wa kisheria ni hatua gani naweza kufanya kisheria ili tuimalize ndoa hii kisheria
Msaada wenu ni muhimu
Lakini sasa ndoa imefikia mahali haiwezi tena kuendele baada ya juhudi nyingi(nisingependa kuliongelea sana hili)
Naomba ushauri wenu wa kisheria ni hatua gani naweza kufanya kisheria ili tuimalize ndoa hii kisheria
Msaada wenu ni muhimu