Msaada jinsi ya kuvunja ndoa kisheria

Msaada jinsi ya kuvunja ndoa kisheria

Jamani mie nina mtizamo tofauti, pengine ni kutokuelewa sharia ntaomba msaada. Ninaamini mahakama hutoa kitu kinaitwa Divorce decree pale ambapo itadhihirika kuwa ndoa hii imekuwa na ireconciliable differences. NA hii divorce decree si ndio talaka yenyewe au? Mie shemeji yangu alimpeleka dadangu mahakamani walikuwa wameoana kanisani. Na wakakubaliana na ndoa ikavunjwa.

Ndiyo, divorce decree ndiyo talaka yenyewe. Kwani kuna mtu kakuambia siyo?
 
Ndiyo, divorce decree ndiyo talaka yenyewe. Kwani kuna mtu kakuambia siyo?

Kaka Mkubwa Nyani Ngabu, kuna mtu kanambia mahakamani hawatoi hiyo kitu kwa ndoa za kanisa wanachotoa ni sijui nini ya separation, nikamwuliza ndio inaitwa divorce decree akasema inaitwa hivyo but sio sa si ndo akanchanganya............. aksante kwa kunisaidia hapo.
 
Last edited by a moderator:
Mna watoto???Suala la msingi ni hilo km mna watoto mmejenga I mean mna mali kias gan,Yeye anafaham huo mpango??Nimedivorce 2 yrs ago baada ya mm naye kukubaliana kwa kila kitu na mwisho mtoto yupo kwa bb yake ambaye nipo nae karibu na every friday namchukua nakuwa naye wkend yote

Mali ulimwachia mmeo?
 
Kaka Mkubwa Nyani Ngabu, kuna mtu kanambia mahakamani hawatoi hiyo kitu kwa ndoa za kanisa wanachotoa ni sijui nini ya separation, nikamwuliza ndio inaitwa divorce decree akasema inaitwa hivyo but sio sa si ndo akanchanganya............. aksante kwa kunisaidia hapo.

Hmm...nijuavyo mimi kuna legal separation (ambayo siyo divorce/talaka) na divorce ambayo ndiyo talaka yenyewe. Divorce decree inahusiana na talaka na ndiyo uthibitisho wa kisheria kwamba talaka imeshatolewa.
 
procedures za divorce ziko wazi kabisa,questions considered ni
1)Place where marriage was conducted.
2)Duration of your marriage - ambayo umesema 6yrs
3)Any issues/children?
4)When did the problems begin?
5)What are the problems? - but umesema u cnt disclose
6)What matrimonial properties have you jointly acquired?their worth?

Kama unataka kuachana na mke wako kisheria, there are procedures that need to be followed, like kwenda kwanza Baraza la Usuluhishi linalotambulika kisheria (eg. baraza la kata), ikishindikana kuwasuluhisha,unapewa fomu itakayokuruhusu kwenda Mahakamani, ila ili upate petition yako ya divorce iwe granted lazima uwe na definite reason ambayo imeandikwa katika Sheria ya Ndoa, kama sababu yako haipo kwenye hizo grounds of divorce,wala usijisumbue,Mahakama lazima ijiridhishe kwamba ndoa yenu has "irrepairbly broken down".

So because hauwezi ku-disclose reasons zako, tafuta The Law of Marriage Act,1971 soma section 107,utajua from there

Mkuu Viva mfano mke wangu kakimbia na vitu vyangu katokomea kusiko julikana baadae anaibuka mahakamani anataka tugawane mali wakati kuna baadhi ya vitu alikimbia navyo sheria imekaaje hapo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Viva mfano mke wangu kakimbia na vitu vyangu katokomea kusiko julikana baadae anaibuka mahakamani anataka tugawane mali wakati kuna baadhi ya vitu alikimbia navyo sheria imekaaje hapo?

Mahakama itaangalia, ameondoka kwa mda gani, kwa ajili gani, alikuwa wapi? alivyoondoka navyo vina thamani gani na kwa uhalisi vilikuwa vya nani?(proof), kugawana mali ni hadi pale mnapoamua kuachana kisheria, taratibu zote zifuatwe, ndo anaweza omba mgawanyo wa mali na kama hiyo mali mlinunua pamoja kama wanandoa basi share yake lazima apate (hata kama ni 20%) pia Mahakama itaweza zingatia vile vitu alivyochukua (kama mlivinunua pamoja) thamani yake na kuangali kama yuko entitled kupata more or not, ila kama hizo mali ulizipata wewe mwenywe kabla ya ndoa hawezi kuzishika wala kuzipata.
 
Back
Top Bottom