Mkoa, wilaya, eneo namba ya simu, namba ya mita na namba ya taarifa tafadhaliMita yangu iliungua na nikaenda kuripot wakaniambia watanibadilishia ila imepita mwaka na miezi miwili hadi leo kimya wao ni danadana tu
54183670543 nimennua luku tayar but hamjanipa hizo 40 unit kama mlivosema em naomba msaada maana nshachoka hata kwenda huko tanesco kila siku.
hivi mbona hunijibu ni week sasa hizo unit mnarudisha hamrudishi?
mnachagua watu wa kuwajibu auMkoa, wilaya, eneo namba ya simu, namba ya mita na namba ya taarifa tafadhali
Mkuu me naomba ufafanuzi katika hili.Ndugu mteja.
Baada ya kuangalia matumizi yako inaonyesha kuwa kuanzia mwezi wa 4 mwaka huu matumizi yako yalipanda kutoka wastani wa unit 80 hadi 100 na kuendelea.
Hii inaweza kusabibishwa na mambo yafuatayo.
1. Vifaa vyako vya umeme kuwa chini ya ubora na kusabibabisha kutumia umeme mwingi.
2. Matumizi mabaya ya umeme kama kuwasha taa wakati wa mchana.
3. Kutumia taa na vifaa vingine ambavyo sio energy saver.
4. Wiring yako kuhitaji kukaguliwa. Tanesco tunashauri walau kila baada ya miaka mitano kukaguliwa.View attachment 924682
Mkuu naomba kubadirishiwa tariifu nipewe tariifu ndogo maana kwa miezi 6 natumia Unit 17 tu.Tunaomba namba yako ya mita unayodai ipo tarif isiyosahihi tukujibu kwa data
hii ndio imesababisha baadhi ya wateja ambao sio waaminifu kuanza kuchukua rimoti (CIU) za wengine na kuuza kwa wateja ambao wamepoteza kwa sababu wanajua jinsi ya kuweka umeme kwa kutumia kifaa cha jirani, tunafanya hivyo malengo maalum, kama mteja ameshindwa kuweka umeme ni wajibu wa TANESCO kwenda kutoa huduma bureeeee!!!
Inawezekana mbonaNdugu mpendwa mteja haiwezekani kiweka umeme kwa kutumia LUKU ya jirani lakini unaweza kuweka kupitia kwa jirani kwa kwenda na CIU au remote ya nyumba yako
Mkuu, alishajibu hili, kwenye post #12 kutokana na maelezo ya namba #9Inawezekana mbona
We hapo TANESCO unafanya kazi gani? Uliza wataalamu wakuelekeze