dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
wala usiangaike mkuu , ile tariff ya D1 ilikua karibu mteja, ni kama bonus ivi, wanaku time ujichanganye upande daraja, na ukishapanda sahau kurudishwa, periodNaomba kurudishwa kwenye mteja wa kawaida wa chini ya unit 72 kwani matumizi yangu kwa sasa hayazidi hizo unit. Namba yangu 54150367891 #TANESCO