TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
Ndugu mteja.
Baada ya kuangalia matumizi yako inaonyesha kuwa kuanzia mwezi wa 4 mwaka huu matumizi yako yalipanda kutoka wastani wa unit 80 hadi 100 na kuendelea.
Hii inaweza kusabibishwa na mambo yafuatayo.
1. Vifaa vyako vya umeme kuwa chini ya ubora na kusabibabisha kutumia umeme mwingi.
2. Matumizi mabaya ya umeme kama kuwasha taa wakati wa mchana.
3. Kutumia taa na vifaa vingine ambavyo sio energy saver.
4. Wiring yako kuhitaji kukaguliwa. Tanesco tunashauri walau kila baada ya miaka mitano kukaguliwa.
Baada ya kuangalia matumizi yako inaonyesha kuwa kuanzia mwezi wa 4 mwaka huu matumizi yako yalipanda kutoka wastani wa unit 80 hadi 100 na kuendelea.
Hii inaweza kusabibishwa na mambo yafuatayo.
1. Vifaa vyako vya umeme kuwa chini ya ubora na kusabibabisha kutumia umeme mwingi.
2. Matumizi mabaya ya umeme kama kuwasha taa wakati wa mchana.
3. Kutumia taa na vifaa vingine ambavyo sio energy saver.
4. Wiring yako kuhitaji kukaguliwa. Tanesco tunashauri walau kila baada ya miaka mitano kukaguliwa.