Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Subiri kikinuka utasikia harufu😂
😁😁😁
Ukumbuke kunitag tu utapokinukisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri kikinuka utasikia harufu😂
Kumbe mimi ni mchumba ako na hausemii...!😂🤸😁😁😁
Ukumbuke kunitag tu utapokinukisha
Bora hao walikuelewa huyu wangu chenga tupu kichwan empty kabisa unaweza mkata kofi au kushikana mashati kwa lugha chafu atumiazo anapoona amezidiwaUkuta ukiwa ndani ya eneo lako sio wake tena.
Kuna wajinga walijenga eneo lao lote halafu hamna barabara nikamega kiwanja changu ikawa barabara nzuri. Eti wakaanza kujenga fremu nikawaambia marufuku kujenga fremu hilo ni eneo langu mkijenga tu nazungushia ukuta. Hadi leo hakuna aliethubutu.
Kumbe mimi ni mchumba ako na hausemii...!😂🤸
Niliposikia nikacheka sanaa..! Kumbe namiliki handsome boy na sijui🤸🥰😍😘🤩😜
Bora hao walikuelewa huyu wangu chenga tupu kichwan empty kabisa unaweza mkata kofi au kushikana mashati kwa lugha chafu atumiazo anapoona amezidiwa
Una documents zonazoonesha mauziano yenu? Kama unaxo lazima zioneshe mipaka au ukubwa wa eneo lako. Kama huna kazi unayoshida wanataka nivunje ukuta ili barabara iwe pana wakti yeye hajatoa sehemu yoyote
Hakuna sangoma siku hizi wengi ni wajanja wa mjini tu, watamtapeli na hakuna kitatokea, hapo ndio atazidi kukuogopa. 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha tu niwe swala
Unajua nitakapofanya hivyo hatokubali kuendelea kuona hivyo vimbwanga kwenye eneo lake lazima atakimbilia kwa sangoma🤣🤣🤣🤣
Nini tena jirani?
Ukuta ni mali yangu kwa sababu amejenga ndani ya eneo langu lenye hatimilikiHuyo hakuwa mkorofi alikujaribu tu lasivyo angekupandisha kizimbani kwa kuvunja ukuta wake
🤣🤣🤣🤣Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.
Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake
Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,
Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.
Utakuja kunishukuru 😂
Ile document uliouziwa kiwanja ina vipimo vya ukubwa wa kiwanja chako. Itumie kama ushahidiSifungamani na hayo mambo ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.
Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake
Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,
Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.
Utakuja kunishukuru [emoji23]
kama umeshindwa kuisimamia haki yako bomoa ukuta, na je ulijenga bila kibali?🤣🤣🤣🤣🤣 weeee wapo unanijaza upepo wew nijichanganye kwenye kumi na nane za jirani akishindwa huku ataenda kule
Huko kwenye ulozi huwa hapana mshindi hata uwe gwiji vipi utapigwa za uso shetani hana adabu.Nikweli nilifanya kosa hapo
NItawaharibia mkuu kinachofuata ni kulogana