Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Subiri Mh atakujaa kutatua
 
Shida huwa inaanza kwa serikali za mitaa, vijiji sijui kata na hata wananchi kama wewe na mimi kutokuwa na ufahamu...

Kwa sababu ili mtu ajenge sheria ya ardhi inabainisha kwamba lazima awe na kibali cha ujenzi...

Serikali ya vijiji, mtaa inafika eneo la ujenzi kutambua mipaka, ikiwemo wapi njia inapaswa kupita...

Kwa maeneo ambayo hayajapimwa utaratibu wa kawaida ni kuacha mita 4 baina ya viwanja (hatua nne kama hakuna kipima umbali)...
Mara nyingi shida inakupatq kama wewe ndio wa mwisho kujenga. Wao wanajenga hadi mwisho wa viwanja vyao halafu kiwanja chako kinakuwa njia. Siku unakuja kuanza ujenzi ukifunga njia(eneo lako) unakuwa adui wa jamii.
 
Kama sio muhaya, mchaga au mjita sijui tu

Utakuwa unamzidi uwezo au mnalingana ndo kunakuwaga na hizi nongwa, hao wenyeviti ndo wanauchochea, ungana na wanaotumia hiyo barabara ili mtatue mgogoro huo
I miss you sweetheart
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Kazi ya watendaji kata na wenyeviti wa mtaa
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru 😂
Hana haja ya kuingia gharama zote hizo.

Cha kufanya anunue kilo 1 ya unga wa mahindi, na kitambaa chekundu. Huo unga aumwage kuzunguka hilo eneo linalogombewa, na kwenye kila kona asimike mti wenye kitambaa chekundu kinapepea. Halafu aendelee na shughuli zake.

Kamwe hakuna mtu ataruka hapo 😄
 
Mara nyingi shida inakupatq kama wewe ndio wa mwisho kujenga. Wao wanajenga hadi mwisho wa viwanja vyao halafu kiwanja chako kinakuwa njia. Siku unakuja kuanza ujenzi ukifunga njia(eneo lako) unakuwa adui wa jamii.

Mitaa ya Manzese kuna bibi kufika kwake alikuwa ameweka ngazi inayompitisha juu ya paa la jirani kwa sababu alikuwa kazingirwa pasipokuachiwa njia...
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Aliekuuzia si yupo? hata kama apajapimwa ila lazima zipo mita za kiwanja kwa upana na urefu ,chukua izo karatasi pimeni urefu na upana na wenye viti wakiwemo ili kudhiilisha kiwanja chako kinapoishia , na wapi umeanzia jengea kuta simple
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru 😂
Amalizie na kununua subwoofer kubwa ya bluetooth aelekeze upande wa dirisha la jamaa usiku kucha aweke milio ya bundi na paka.
 
Back
Top Bottom