Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

uniweke kwenye maombi yako
ila ninawaza kuja kuazima ule mguu wa kuku si kwa vimbwanga hivi
Usijali kabisa,maombi kwako yana nafasi tayari.

Mguu wa kuku kwa ajili ya kutishia au kutoa roho?
 
Jirani yangu alipewa bure kiwanja na kaka yake ambaye alikua na eneo kubwa sana,jirani yule bro wake alipofariki akataka kuwadhulumu watoto wa marehemu kijisehemu basi akaingia hadi kwenye eneo langu,akaanza na kuuza baadhi ya viwanja pale,marehemu alipokua anauza alikua anaacha hatua 2 kati ya kiwanja na kiwanja,jirani yy akawa anawapiga bila kuacha hatua,watoto wa marehemu walipokuja kushtuka wakamstopisha,nami nikawaonyeshea mipaka ya awali,wakaniambia kuondoa utata kile kipande kilichosababisha jamaa akaingia hadi kwangu niwape pesa,nikawapa fasta chini ya serikali ya mtaa,jirani ananitangazia ubaya mtaani πŸ˜€
 
Usijali kabisa,maombi kwako yana nafasi tayari.

Mguu wa kuku kwa ajili ya kutishia au kutoa roho?
🀣🀣🀣🀣🀣kwa sasa sina jibu
Ila yatakuja wakati nimeushikilia🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣kwa sasa sina jibu
Ila yatakuja wakati nimeushikilia🀣🀣🀣
🀣 Omba msaada mwingine nje ya hilo maana sitaki uingie matatizoni.
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru πŸ˜‚
Mkuda sana wee jamaa......hahaha
 
Ni mchaga a.k.a wapalestina
kuna mmoja alikua akimsumbua mama yangu. siku nilimfuata wakati bado naishi ukimani ( bara la giza). nilimuambia mimi nina roho mbaya we msenge nitaku**wewe na mke wako endelea kumsumbua huyu bi mkubwa. toka hapo akajua kumbe huyu mama ana mtoto kichaa.
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru [emoji23]
Nmecheka hapo kwenye drone et iwe kama jini
 
Usicheke na waswahili watakupanda kichwani.

Nipe tenda hiyo nimuwekee ngozi za chui uwani halafu namletea kipira, huyo mtaonana baada ya miaka 30 kama atatoka jela salama
Safi sana atumie hii πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukimani watu hawajastaarabika
Na yote kutofuatwa mipango miji. Mtu kisa ardhi yake anajenga kiholela.
Najuta kuzaliwa rangi ya giza. Kila kitu giza.
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru πŸ˜‚
Ushauri wa hananja huuu
 
Back
Top Bottom