Msaada Juliet wangu anaumwa sana usiku huu

Msaada Juliet wangu anaumwa sana usiku huu

Usirudie tena kumpa mtoto amodiaquine, hizo dawa zina nguvu sana
Mpe pole Julieth, hope anaendelea vizuri

Toka jana mtoto wangu wa miaka 2 na nusu ameonesha dalili ya malaria na kupima ikaonekana ana malaria 3. Huwa hata sijui hii namba ina maanisha nini..anyway!

Tatizo ni kuwa majira ya saa8 hii amechemka sana anatoa jasho na analia kwa vipindi vipindi. Jana alianza doze ya malaria (amodiaquine) lakini ni kama haijaamza kufanya kazi vizuri.

Hii hali ya kuchemka ndio inantisha, je kumpa panadol ni sawa ama kuwasha feni/kumuogesha maji baridi?

Toka azaliwe hajawahi ugua malaria so its my first experience!
 
Dawa za maralia zipo nyingi sana, ikibidi hata sindano lakini amodiaquine! sishauri kabisa, hizo dawa ni kali sana, mtu mzima zinampelekesha sembuse mtoto, huwa sihitaji hata kuziona, na ni vizuri kama utampelekea kwa daktari wa watoto atakushauri dawa gani nzuri kwa mtoto wa umri huo

Hadi nimeshtuka! So dawa gani ni powa?
 
Usirudie tena kumpa mtoto amodiaquine, hizo dawa zina nguvu sana
Mpe pole Julieth, hope anaendelea vizuri

Amodiaquine kwa mtoto si sahihi ila kwa wakubwa inawaperekesha sana wenye ngoma.
 
chukua chai ya rangi...na weka ndimu ndani yake itashuka tu temperature...muwekee sukari kidogo...
 
Dawa ya kumkinga asipate malaria mara kwa mara...chukua kokwa za papai zikaushe, zitwange ziwe unga...halafu utakua unakoroga kwenye uji unampa...haina tabu ukiweka sukari...
 
  • Thanks
Reactions: ram
Dawa ya kumkinga asipate malaria mara kwa mara...chukua kokwa za papai zikaushe, zitwange ziwe unga...halafu utakua unakoroga kwenye uji unampa...haina tabu ukiweka sukari...

Asante sana mkuu, sasa kipimo labda
 
Toka jana mtoto wangu wa miaka 2 na nusu ameonesha dalili ya malaria na kupima ikaonekana ana malaria 3. Huwa hata sijui hii namba ina maanisha nini..anyway!

Tatizo ni kuwa majira ya saa8 hii amechemka sana anatoa jasho na analia kwa vipindi vipindi. Jana alianza doze ya malaria (amodiaquine) lakini ni kama haijaamza kufanya kazi vizuri.

Hii hali ya kuchemka ndio inantisha, je kumpa panadol ni sawa ama kuwasha feni/kumuogesha maji baridi?

Toka azaliwe hajawahi ugua malaria so its my first experience!

Mpe Maji Na Juis Halis Mara Kwa Mara Kwan Husaidia Kushusha Joto Na Usitumie Feni Wala Kumkosha Maji Baridi Kwa Hofu Ya Pneumonia
 
Toka jana mtoto wangu wa miaka 2 na nusu ameonesha dalili ya malaria na kupima ikaonekana ana malaria 3. Huwa hata sijui hii namba ina maanisha nini..anyway!

Tatizo ni kuwa majira ya saa8 hii amechemka sana anatoa jasho na analia kwa vipindi vipindi. Jana alianza doze ya malaria (amodiaquine) lakini ni kama haijaamza kufanya kazi vizuri.

Hii hali ya kuchemka ndio inantisha, je kumpa panadol ni sawa ama kuwasha feni/kumuogesha maji baridi?

Toka azaliwe hajawahi ugua malaria so its my first experience!

Mpe Maji Na Juis Halis Anywe Mara Kwa Mara Kwan Husaidia Kushusha Joto Na Usitumie Feni Wala Kumkosha Maji Baridi Kwa Hofu Ya Pneumonia
 
Mpe Maji Na Juis Halis Anywe Mara Kwa Mara Kwan Husaidia Kushusha Joto Na Usitumie Feni Wala Kumkosha Maji Baridi Kwa Hofu Ya Pneumonia

Asante sana sana mkuu, ushauri huu unasaidia wengi
 
Back
Top Bottom