Baba advent
Member
- Nov 23, 2011
- 72
- 16
Jamani katika majina yaliyorudishwa na TCU na jina langu na wanadai hawana matokeo yangu F.vi, sasa nikiongeza ile submit button haiwi activated. ko kwa yeyote anaweza kunisaidia nifanye anisaidie na wanadai mwisho 9/8. asanteni