Msaada juu upatikanaji wa ajira za wataalamu wa umeme ngazi zote

Msaada juu upatikanaji wa ajira za wataalamu wa umeme ngazi zote

Mr nobby

Senior Member
Joined
Aug 25, 2023
Posts
196
Reaction score
395
Wakuu habari za Leo.

Mimi hapa ni mhitimu wa diploma ya electrical engineering mwaka huu 2024. Naombeni msaada wa namna ya kupata uzoefu na ajira zinazo hususu umeme.

Mnisaidie mashirika yote binafsi na ya serikali yanayohitaji watu wa electrical ili niweze kuyafatilia yote kwani mm ni mgeni wa fani hii hasa katika upande wa kusaka ajira. Nafahamu tanesco, ewura na temesa tu.

Pia mnisadie mbinu za kujiajiri katika fani hii.

Pia Kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kumsaidia katika Mambo ya electrical installation nipo hapa.

Mwisho kbsaa: Je kwa hali ilivo Sasa mnanishauri niunge bachelor au nibaki kwanza na diploma yangu nipate uzoefu?

Natanguliza shukurani.
 
Vipi umesajiliwa ERB?Kama ndio nenda TAESA ufanye usahili upate internship
 
Wakuu habari za Leo.

Mimi hapa ni mhitimu wa diploma ya electrical engineering mwaka huu 2024. Naombeni msaada wa namna ya kupata uzoefu na ajira zinazo hususu umeme.

Mnisaidie mashirika yote binafsi na ya serikali yanayohitaji watu wa electrical ili niweze kuyafatilia yote kwani mm ni mgeni wa fani hii hasa katika upande wa kusaka ajira. Nafahamu tanesco, ewura na temesa tu.

Pia mnisadie mbinu za kujiajiri katika fani hii.

Pia Kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kumsaidia katika Mambo ya electrical installation nipo hapa.

Mwisho kbsaa: Je kwa hali ilivo Sasa mnanishauri niunge bachelor au nibaki kwanza na diploma yangu nipate uzoefu?

Natanguliza shukur
Wakuu habari za Leo.

Mimi hapa ni mhitimu wa diploma ya electrical engineering mwaka huu 2024. Naombeni msaada wa namna ya kupata uzoefu na ajira zinazo hususu umeme.

Mnisaidie mashirika yote binafsi na ya serikali yanayohitaji watu wa electrical ili niweze kuyafatilia yote kwani mm ni mgeni wa fani hii hasa katika upande wa kusaka ajira. Nafahamu tanesco, ewura na temesa tu.

Pia mnisadie mbinu za kujiajiri katika fani hii.

Pia Kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kumsaidia katika Mambo ya electrical installation nipo hapa.

Mwisho kbsaa: Je kwa hali ilivo Sasa mnanishauri niunge bachelor au nibaki kwanza na diploma yangu nipate uzoefu?

Natanguliza shukurani.

Watu wa diploma nao wanakua registered ERB?
Ushaurii unganisha bachelor degree wakatii huo ujisajili ajira Portal,wakatii unaendelea kusoma bachelor unaendelea kuhudhuria interview za utumishi naamini hata kabla hujamaliza bachelor utakuwa umeishapata KAZI serikalini
ila usipotezee Muda wako kusemaa sijuii unatafutaa uzoefuu utakuwa unapoteza Muda wako buree mtaanii pangumuu saana
 
Pole sana Kwa changamoto unayopitia!


Ukishahitimu jaribu kua karibu na watu wa kada uliyosomea kama wiki mbili zilizopita Kuna shirika flan lilitoa nafasi ya vijana kujifunza na kuongeza ujuzi, unachagua kozi unayotaka wao watakulipia ada. Watu wa kada yako wengi wameenda VETA pale Navy kigamboni
 
Pole sana Kwa changamoto unayopitia!


Ukishahitimu jaribu kua karibu na watu wa kada uliyosomea kama wiki mbili zilizopita Kuna shirika flan lilitoa nafasi ya vijana kujifunza na kuongeza ujuzi, unachagua kozi unayotaka wao watakulipia ada. Watu wa kada yako wengi wameenda VETA pale Navy kigamboni
Asantee, nawezaje kupta taarifa mbali mbali za shirika Hilo? Kama utaweza lipata vizuri unaweza nijulisha hata dm ili niwe napata update zao
 
Asantee, nawezaje kupta taarifa mbali mbali za shirika Hilo? Kama utaweza lipata vizuri unaweza nijulisha hata dm ili niwe napata update zao
Ngoja ntaangalia Mawasiliano nkifanikiwa takutumia
 
Wakuu habari za Leo.

Mimi hapa ni mhitimu wa diploma ya electrical engineering mwaka huu 2024. Naombeni msaada wa namna ya kupata uzoefu na ajira zinazo hususu umeme.

Mnisaidie mashirika yote binafsi na ya serikali yanayohitaji watu wa electrical ili niweze kuyafatilia yote kwani mm ni mgeni wa fani hii hasa katika upande wa kusaka ajira. Nafahamu tanesco, ewura na temesa tu.

Pia mnisadie mbinu za kujiajiri katika fani hii.

Pia Kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kumsaidia katika Mambo ya electrical installation nipo hapa.

Mwisho kbsaa: Je kwa hali ilivo Sasa mnanishauri niunge bachelor au nibaki kwanza na diploma yangu nipate uzoefu?

Natanguliza shukurani.
Kwa namna ninavyo tazama soko la ajira nje ya box, nakushauri usiendelee na bachelor kwanza.
Tafuta ajira kijana, kwa diploma of electrical engineering naona upo sokoni kwa wakati huu.
 
Kwa namna ninavyo tazama soko la ajira nje ya box, nakushauri usiendelee na bachelor kwanza.
Tafuta ajira kijana, kwa diploma of electrical engineering naona upo sokoni kwa wakati huu.
Classmate mwambie kijana aje mwime huku , kuna Generator za compressor huwa zinazingua kufua moto
 
Back
Top Bottom