kamsongole
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 111
- 15
wandugu naomba mnisaidie kujua hili, mimi nilitakiwa kuanza kubridi tarehe 9 mpaka 12 kwa muda wa siku nne. Tarehe nane ilipofika nikasikia maumivu makali mpaka hiyo tarehe 12 ila mpaka sasa sijabridi na maumivu yamepungua. Tatizo litakuwa nini wandugu? Naomba msaada wenu.