Msaada juu ya hedhi

Msaada juu ya hedhi

Jmujun

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
965
Reaction score
525
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Asee pole yake
Mwambie aende hospitali
 
Samahani kwa uhandishi tatizo ni hizi smart zetu
 
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,
je amewahi kutumia dawa za kupanga uzazi, mwambie akapige utra sound kama ana uvimbe wowote, na pia ana umri kiasi gani tuwasiliane inbox
 
Kimbilieni hospital now ikiwezekana, ushapewa ushauri huo, mambo Kama hayo c ya kuyaletea mzaha
 
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,
Pole sana kwake ...sio jambo la kawaida kutokea kwa hiyo kitu na ikitokea vipo baadhi ya visababishi
Hali yake yawezwa kufananishwa na baadhi ya menstruation syndrome kama Amenorrhea japo hii yawezekana sio kwake japo nayo ipo ya aina mbili nikimanisha secondary Am...kama ulivoeleza kwamba aliingia ila ikaacha na kuendelea lakini pia inaweza kuwa "Oligomenorrhea" kulingana pia na maelezo yako kuwa aliingia na ikachukua mda mrefu pasipo kuacha .
Muhimu kwenda kwenda hosptal japo hilo tatzo chanzo chake yawezekana kikawa kimojawapo akawa na ile hali ya "polycystic ovarian syndrome ambapo ovary yake yawezekana ikawa inazalisha androgen kumbuka hii inafaa upande wa kiume ilo nalo ni tatzo ...japo na hormonal balance inaweza ikawa tatzo
 
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,

Nilipanga Kula nyama na mchuzi mwingi mchana huu ila nimehairisha.
 
Mimi manzi angu akiingia period huwa anaumwa sana na tumbo. Mpaka huwa anaenda kuchoma sindano za maumivu hospital na kutumia pain killers.

Kunaweza kuwa na suluhisho?
 
Uyo lafik yko mwambie asitumie vidonge vya uzazi wa mpango Sasa Kama alitumia na akaacha ndo inakuwa ivo so aende Hosp watamp vidong vya hormone imbalance atakaa sawa
 
Imewanyiwa amani wote wawili?? Kivipi??
She is my Best friend, we have to enjoy sex, umeipata hiyo, sina amani hata Mimi ntapoteza pesa unafikir nan atamuhudumia
 
Asanteni maana nilichotegemea mmenipatia
 
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,
huenda ikawa ni sababu ya njia za uzazi wa mpango hasa sindano za majira., kama anatumia, basi aende clinic akaombe kubadilisha njia, atumie nyingine.

Kama hatumii, basi kuna haja ya kumwona daktari, ajieleze vizuri afanyiwe na vipimo, tatizo litajulikana tu.
 
Salam kwa wote jamvini,
Tafadharini sana wakuu nimeanzisha Uzi japo nipate mawili matatu juu hedhi . Tatizo ni hedhi kwa muda mrefu,
Rafiki yangu[best friend] ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu, hii hali imetunyima amani Sana ila kulingana na maarifa ya jamvini nadhani ntapata mwanga juu yA hilo nani ntamsaidia best yangu,
Best aliingia kwa siku zake lakini alichelewa kama siku tatu au nne jinsi alivyokuwa akitegemea, alipoingia baada ya siku mbili, ya tatu akatoka vizur lakini cha ajabu siku saba badae akaingia tena, aliponishikirisha wanzoni alidai huwa muda Fulani huwa inamtokea lakini damu huwa kidogo sana hata pads hatumii, alafu huwa mambo yana kama Sawa cha ajabu sasa ni wiki ya pili anaelekea ya tatu, hajatoka hedhi imeendelea pasipo kukoma, na si kidogo tena balia melazimika kutumia pads.
Msaada wanajamvi,
Ushauri waliotoa wenzangu ikiwa mwenzi wako bado hajapona nitafute mimi nipate kumtibia apate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Back
Top Bottom