Msaada juu ya hili penzi, ungekuwa wewe ungemjibuje?

Aina hii ya mademu wanaotegemea ku survive kwa vibomu kutoka kwa wanaume wakizeeka maisha yamewachapa, wanaume wamewakimbia kwa sababu walikua wanapiga na kusepa ndo unakuta wamekaa barabarani na meza za ubuyu na karanga

Unabaki unajiuliza huyu miaka yote alikua wapi mpaka umri umeenda sana na anauza ubuyu na karanga,angeanza zamani hii biashara kipindi bado binti ana nguvu si angekua mbali

Huyo demu ni complete liability
 
Kama anakupa utelezi hudumia tu.

Mbona si kazi, kuna manzi alijua fika nipo kwake kwa utelezi tu, nae vibom ananipiga nikimwita haipingwi.
Mmoja akisafiri na penzi linakufa coz siwez mhudumia niko mbali.
 
Utoto banah ukikua halafu ukitafakari ya nyuma unaishia kujicheka tu [emoji1787][emoji1787].

Natumai umri unaruhusu kuchanganyikiwa kwa sasa hata tukushauri utalizwa tu.

We nenda nae hivo hivo itafika muda akili yako inakomaa basi utakuwa unafanya maamuzi sahihi.
 
Morning

Tumeanza mahusiano hii week sasa lakini kashaomba hela mara tatu then leo ananiambia hvi, nimekosa cha kumjibu kabisa

Ungekuwa wewe ungemjibuje.

View attachment 2437203

Hakuna mtu anaeweza kumhudumia mwanamke aridhike. We mdanganye kwamba asiwe na wasiwasi hapo kwako amefika, ila USIMPE HELA! We hakikisha unamega kimachale akija kushtuka huchuniki atakuacha mwenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…